Mafwi Munda
JF-Expert Member
- Nov 30, 2017
- 1,750
- 1,599
Hahaha Paskali na ikiwa ccm na serikali wamevunja katiba nao wafutwe?!
CHADEMA wanatafutwa kufutwa na kila chombo cha dola na hata ccm wanaounda serikali ndio mpango wao kuondoa ushindani dhidi yao. Kama wanataka haki waruhusu chombo cha nje kilicho huru kisicho na maslahi yoyote ndani ndicho kisimamie chaguzi zote na uendeshaji wa shughuli za siasa nchini.
Tofauti na hapo chadema hawawezi kupata fair trial kwa namna yoyote.
Hao ccm mwenyekiti wao ndiye rais na ana control vyombo vyote vinavyotumika kuikandamiza chadema, tume ya uchaguzi, msajili wa vyama vya siasa, polisi, mahakama.
Sasa chadema atahukumiwaje na mpinzani wake halafu utegemee apate fair trial?!
Huo ni uonevu kuihukumu chadema wakati serikali nzima haiwatendei haki.
We have laws in this country but no justice.
CHADEMA wanatafutwa kufutwa na kila chombo cha dola na hata ccm wanaounda serikali ndio mpango wao kuondoa ushindani dhidi yao. Kama wanataka haki waruhusu chombo cha nje kilicho huru kisicho na maslahi yoyote ndani ndicho kisimamie chaguzi zote na uendeshaji wa shughuli za siasa nchini.
Tofauti na hapo chadema hawawezi kupata fair trial kwa namna yoyote.
Hao ccm mwenyekiti wao ndiye rais na ana control vyombo vyote vinavyotumika kuikandamiza chadema, tume ya uchaguzi, msajili wa vyama vya siasa, polisi, mahakama.
Sasa chadema atahukumiwaje na mpinzani wake halafu utegemee apate fair trial?!
Huo ni uonevu kuihukumu chadema wakati serikali nzima haiwatendei haki.
We have laws in this country but no justice.