Ikithibitika CHADEMA ilihusika na uvunjifu wa amani, then inapaswa kufutwa kwa mujibu wa katiba!

Kwa maoni yangu na mtazamo wangu watu wanaostahili kulaumiwa kwa mauaji ya Aquilina
1. MKURUGENZI
2. CHADEMA
3. POLISI
Mkurugenzi alichelewesha barua za mawakala ikawafanya CHADEMA waandamane, CHADEMA waliandamana pasipo kuwa na kibali cha kufanya hivyo, POLISI walitekeleza wajibu wao kwa kutumia risasi za moto(kosa) kwa watu wasiokuwa na silaha
Washitakiwa ni polisiccm na mkurugenzi wa CCM
 
Habari zenu mabibi na mabwana, nimejikuta nawaza kwa upole sana kwamba ktk kipindi hiki cha huzuni nchini, nilitegemea kuwaona watu kama akina Pascal Mayala, ambao ni prominent peoples in JF wakitoa makala au writings zao juu ya hali ya siasa, kijamii na kiuchumi kwa sasa.
Malkia Mrembo, katika siku hiii wiki, mimi nimepandisha nyuzi hizi

  1. Thread
  2. Ikithibitika CHADEMA Ilihusika na Uvunjifu wa Amani, Then Inapaswa Kufutwa Kwa Mujibu wa Katiba!.
    1. Wanabodi, Iwapo itathibitika pasipo shaka, (proven beyond reasonable doubt), kuwa viongozi wakuu wa CHADEMA, walijua, walishiriki, na walihusika...
  3. Thread by: Pascal Mayalla, Yesterday at 9:49 PM, 106 replies, in forum: Jukwaa la Siasa

  4. Thread
    Japo umegharimiwa kwa machozi, jasho na damu, ulikuwa huru na wa haki!. Hongera CCM, CHADEMA poleni!. Mungu saidia Tz
    Wanabodi, Baada ya figisu figusu za hapa na pale za uchaguzi wa marudio wa majimbo ya Kinondoni na Siha uliohusisha kampeni kubwa za nguvu,...
    Thread by: Pascal Mayalla, Yesterday at 8:08 AM, 91 replies, in forum: Uchaguzi Tanzania

  5. Thread
    Hongera ITV Kutuonyesha Live Uchaguzi. TBC Pia Wako Live ila ni Club Raha Leo Mbeya!.
    Wanabodi, Japo mimi ni mpigakura wa Kinondoni, baada ya tukio la kifo cha yule mwanafunzi, mwili umeingia baridi kushiriki kupiga kura, hivyo...
    Thread by: Pascal Mayalla, Saturday at 8:55 AM, 54 replies, in forum: Uchaguzi Tanzania

  6. Thread
    Je, Polisi washitakiwe kusababisha vifo kizembe vya random shootout? RIP Aqulina Akwilini, Baftaha, She is an Angel!
    Wanabodi, Kwanza nitoe pole kwa kifo hiki cha malaika huyu Jee mnajua Jeshi la Polisi Linaweza kushitakiwa kwa kifo hiki cha uzembe na...[/U][/URL]
    Thread by: [URL='https://www.jamiiforums.com/members/pascal-mayalla.17813/'][U]Pascal Mayalla[/U][/URL], Saturday at 6:44 AM, 730 replies, in forum: [URL='https://www.jamiiforums.com/forums/jukwaa-la-siasa.6/'][U]Jukwaa la Siasa[/U][/URL]
    [*][URL='https://www.jamiiforums.com/members/pascal-mayalla.17813/'][IMG]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/s/17/17813.jpg?1493942121

    Thread
    Huyu hana adabu kabisa! Amuita Waziri wetu " Profesa aliyerukwa na akili, mwendawazimu", ndani ya BLW na kuachwa tu?
    Wanabodi, Nilikuwa nasikiliza majadiliano ndani ya Kikao cha Baraza la Wawakilishi, Ameinuka Mwakilisi na kumtaja waziri wetu kuwa ni Profesa...
    Thread by: Pascal Mayalla, Friday at 2:35 PM, 253 replies, in forum: Jukwaa la Siasa
    [*]
    Thread
    Licha ya CCM kuwa chanzo cha umasikini, ujinga, rushwa na ufisadi, kwanini CCM bado huwa inashinda chaguzi mbalimbali?
    Wanabodi, Hili ni swali, ambalo jibu lake nitawaletea siku ya Jumatatu, baada ya Uchaguzi wa Marudio wa Majimbo ya Kinondoni na Siha, ila kuna...
    Thread by: Pascal Mayalla, Friday at 12:34 PM, 78 replies, in forum: Jukwaa la Siasa
    [*]
    Thread
    Uchaguzi wa Kesho Kinondoni na Siha: Wito kwa Chadema na CCM, Tukubali Matokeo!. Asiyekubali Kushindwa Sii Mshindani
    Wanabodi, Jumamosi ya kesho ndio siku ya uchaguzi wa marudio majimbo ya Kinondoni na Siha, japo kuna vyama vingi vinavyoshiriki uchaguzi huu,...
    Thread by: Pascal Mayalla, Friday at 4:44 AM, 54 replies, in forum: Jukwaa la Siasa
    [*]
    Thread
    Gazeti la Jamhuri laponza uhamiaji?: Watimuliwa kazi! Picha zao hizi gazetini! Ni ukiukwaji wa haki za binadamu!
    Wanabodi, Baada ya mfulilizo wa Makala mbili gazetini kuhusu madudu ya Uhamiaji kwenye suala la e-passport, leo watumishi kadhaa wa Uhamiaji...
    Thread by: Pascal Mayalla, Thursday at 9:32 AM, 88 replies, in forum: Jukwaa la Siasa
    [*]
    Thread
    Taifa linahangaika na wasiojulikana waliomshambulia Tundu Lissu! Je, ni hawa?! Mhe. Mwigulu, IGP, anzieni hapa!
    Wanabodi, Hili ni bandiko la swali tuu kuhusu watu watu, kwa kulisaidia jeshi letu la polisi na vyombo vyetu vya ulinzi na usalama kuitumia...
    Thread by: Pascal Mayalla, Thursday at 7:47 AM, 113 replies, in forum: Jukwaa la Siasa
    [*]
    Thread
    Livingstone Lusinde, japo ni darasa la saba tuu, ni kichwa mbaya!, ana uwezo mkubwa na pia ana powers fulani!.
    Wanabodi, Kama ambavyo huwa ninajinasibu humu kuwa mimi sina chama, na sina mtu, kwenye mazuri napongeza, na kwenye mabaya nakosoa, naangalia...
    Thread by: Pascal Mayalla, Feb 10, 2018, 164 replies, in forum: Jukwaa la Siasa
    [*]
    Thread
    Kinondoni na Siha, tusikubali ujinga huu! hata Mwl. Nyerere alikataa ujinga wa CCM, 1995 akachagua upinzani!
    Wanabodi, Tafsiri ya Neno Ujinga. Naomba nianze na tafsiri ya neno mjinga maana watu humu hawakawii kusingizia watu kuwa tumetukana watu humu!....
    Thread by: Pascal Mayalla, Feb 8, 2018, 122 replies, in forum: Jukwaa la Siasa
    [*]
    Thread
    Kumbukumbu ya miaka 19 ya kifo cha Prof. Hubert Kairuki. Muasisi wa hospitali/chuo kikuu binafsi nchini
    Wanabodi, [MEDIA] Leo nimepata fursa ya kuhudhuria maadhimisho ya Kumbukumbu ya miaka 19 ya Kifo cha Prof. Hubert Kairuki. Sii wengi humu...
    Thread by: Pascal Mayalla, Feb 6, 2018, 241 replies, in forum: Habari na Hoja mchanganyiko
    [*]
    Thread
    Hongera Jaji Mkuu kutumia uadilifu wa kaisari, kwanini Majaji wastaafu hawatibiwi?, wanasubiriwa wafe tuu?
    Wanabodi, Hili ni bandiko kuhusu uadilifu wa Majaji Wetu. Declaration of Interest Nimetokea kumfahamu Jaji Mkuu, Prof. Ibrahim Juma, wakati...
    Thread by: Pascal Mayalla, Feb 4, 2018, 85 replies, in forum: Jukwaa la Siasa
    [*]
    Thread
    Kusaga, Ruge, na TCRA, Tusikubali Udhalilishaji Huu wa Shilawadu!. JPM Anaangalia!.
    Wanabodi Wale wenye access kuangalia Clouds TV, angalieni kipindi cha Shilawadu, leo wanatuonyesha upuuzi wa fumanizi la kupangwa!. Halafu...
    Thread by: Pascal Mayalla, Feb 2, 2018, 176 replies, in forum: Habari na Hoja mchanganyiko
    [*]
    Thread
    Siku ya Sheria: No mention of Tundu Lissu!, Je ni amesahaulika tu kutajwa, amepuuzwa au ameepukwa?!.
    Wanabodi, Leo nimepata fursa kuangalia sherehe za maadhimisho wa siku ya sheria zilizokuwa zikitangazwa live na TBC. Chama cha wanasheria ni mdau...
    Thread by: Pascal Mayalla, Feb 1, 2018, 370 replies, in forum: Jukwaa la Siasa
    [*]
    Thread
    Je, ATCL inahujumiwa kibiashara?. Tutumie a political will kuinusuru, au tuiache iangamizwe na ushindani ?.
    Wanabodi, Declaration of Interest Kuhusu Uzalendo. Naomba ku declare interest yangu kuhusu uzalendo wangu kwa nchi yangu, kwa sababu, ukiibua...
    Thread by: Pascal Mayalla, Jan 29, 2018, 161 replies, in forum: Jukwaa la Siasa
    [*]
    Thread
    The SGR War: MagufuliKagame vs MuseveniKenyatta ni Vita Kubwa!. Who Will Win, Loose or Its Win Win Situation?.
    Baada ya Rais Kagame na Rais Magufuli, kukubalia kujenga reli ya SGR kutoka Isaka kwenda Kigali, ili mizigo ya Rwanda, ipitie bandari ya Dar es...
    Thread by: Pascal Mayalla, Jan 27, 2018, 276 replies, in forum: Jukwaa la Siasa
    [*]
    Thread
    Shurti la kudhaminiwa na chama kugombea uchaguzi, ni shurti batili kwa mujibu wa Katiba, linatutia hasara, tulifute!.
    Wanabodi, Shurti la Mgombea Uongozi wa Umma, Kudhaminiwa na Chama cha Siasa ni Sheria Mbovu, ni... Kinyume cha Katiba, Kinyume cha Universal...
    Thread by: Pascal Mayalla, Jan 26, 2018, 47 replies, in forum: Jukwaa la Siasa
    [*]
    Thread
    Trend Reading: Salum Mwalimu, Mb. Mtarajiwa, Kinondoni!. Hata Wana CCM Wasioendekeza Ujinga, Watamchagua!.
    Wanabodi, Declaration of Interest Naomba nianze kwanza kwa kudeclare interest, kuwa mimi Pascal Mayalla ni mkaazi wa Wilaya wa Kinondoni, kama...
    Thread by: Pascal Mayalla, Jan 19, 2018, 478 replies, in forum: Uchaguzi Tanzania
    [*]
    Thread
    Je, kuna uhusiano kati ya IQ ya mtu na kabila lake, umasikini wake au kimo chake?
    Wanabodi, Usingizi umekata kutokana na mawazo ya huku kukaza kwa vyuma!, mtu unalala hujui kesho siku itaanza vipi, ukiwa totally empty!. Hivyo...
    Thread by: Pascal Mayalla, Jan 18, 2018, 361 replies, in forum: Jukwaa la Siasa


P.
 
Wana Chadema wapenda amani, natoa wito kwa wana Chadema na Watanzania wenzangu wote wa vyama vyote, waliojiandikisha kupiga kura, siku ya tarehe 28 October, tujitokeze kwa wingi kwenda kupiga kura na kutumia haki yetu ya kidemokrasia kuchagua viongozi tunaowataka, ila tusifanye makosa, tuchague viongozi wa ukweli kutoka vyama vya ukweli, watakao weza kutuletea maendeleo ya kweli.

P
 
Wana Chadema wapenda amani, natoa wito kwa wana Chadema na Watanzania wenzangu wote wa vyama vyote, waliojiandikisha kupiga kura, siku ya tarehe 28 October, tujitokeze kwa wingi kwenda kupiga kura na kutumia haki yetu ya kidemokrasia kuchagua viongozi tunaowataka, ila tusifanye makosa, tuchague viongozi wa ukweli kutoka vyama vya ukweli, watakao weza kutuletea maendeleo ya kweli.

P
Ushauri wangu kwako, jitahidi kukitafuta yule Pascal Mayalla wa kale
 
Wana Chadema wapenda amani, natoa wito kwa wana Chadema na Watanzania wenzangu wote wa vyama vyote, waliojiandikisha kupiga kura, siku ya tarehe 28 October, tujitokeze kwa wingi kwenda kupiga kura na kutumia haki yetu ya kidemokrasia kuchagua viongozi tunaowataka, ila tusifanye makosa, tuchague viongozi wa ukweli kutoka vyama vya ukweli, watakao weza kutuletea maendeleo ya kweli.

P
Wewe ni kada, hueleweki. Chagua Msukuma mwenzio wengine hatumtaki!
 
Wanabodi,

Iwapo itathibitika pasipo shaka, (proven beyond reasonable doubt), kuwa viongozi wakuu wa CHADEMA, walijua, walishiriki, na walihusika kwa namna moja au nyingine, katika kupanga au utekelezaji wa vitendo vyovyote vya uvunjifu au kuvuruga amani na utulivu wa taifa hili!, Chama hiki kitapoteza sifa ya kuwa chama cha siasa, na kitafutwa rasmi toka ndani ya daftari la vyama vya siasa, (scraped from the book of political parties), mara moja na bila huruma yoyote!.

Kauli hii, imetolewa leo na Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, Jaji John Tendwa, katika maongezi yangu ya ana kwa ana,(please note ni maongezi na sio mazungumzo!) yalifyonyika leo jioni katika hoteli ya moja mjini Dodoma.

Kama kawaida yangu, nipatapo nafasi, na sababu ya kuwepo Dodoma, huwa nakwenda Dodoma, na ni kawaida yangu kufikia hoteli hii ambayo huwa nafikia mara kwa mara, ambayo ni kama RV ya kujichanganya kwa urahisi na waheshimiwa mbalimbali na kubadilishana nao mawazo.

Siku ya leo jioni, nilikutana na Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, Jaji John Tendwa, nikamsalimu, na akanikaribisha alipokuwa amekaa peke yake, hivyo nikamjoin kwa maongezi tuu, na sio mazungumzo!.

Katika maongezi yetu kuhusu hali ya siasa hali ya siasa nchini, niliulizwa swali kuhusiana na ile "bonafide genuine!" endapo itakutikana " proved beyond reasonable doubt!" by "the court of competant jurisdiction" kuwa ile kitu ni kweli na ni "bonafide genuine!", na ikithibitika kuwa viongozi wakuu wa CHADEMA walihusika kwa kujua, waliipanga na walishiriki sio tuu kwenye "actus reus!", bali pia kwenye "mens rea!", basi Msajili wa vyama nchini, Jaji John Tendwa, atakuwa hana option nyingine, bali kukifuta rasmi Chama cha Demokrasia na Maendeleo nchini, yaani CHADEMA, toka ndani ya daftari la vyama vilivyosajiliwa, bila huruma yoyote, wala kujiuliza mara mbili mbili, bila kujali the consequenses au repacussions za uamuzi huo, kwa sababu hivyo ndivyo sheria ya vyama vya siasa inavyoelekeza kwa mujibu wa katiba ya nchi hii! ambayo yeye ameapa kuilinda.

Kwa kifupi amemaanisha iwapo chama cha siasa kitathibitika kufanya ugaidi, kitafutwa!.

Hata hivyo nikadadisi zaidi, iwapo tuhuma za ugaidi zatathibitika kufanywa na chama tawala CCM, jee nacho, atakifuta bila huruma?!. Baada ya swali hilo, kwanza Msajili alisita kidogo na baadae kusema kuwa kama ni CCM, kwa vile hiki ni chama tawala, kikithibitika kufanya makosa ya ugaidi, au uvunjifu wa Amani, hatakifuta right away eti kwa sababu ni chama tawala!, kukifuta chama tawala ni kuvunja serikali iliyopo madarakani!, CCM kikifanya ugaidi, au uvunjifu wa Amani hata kivunja, bali atakipeleka mahakamani ili mahakama ndio itoe utaratibu wa nini cha kufanya endapo chama tawala kitapoteza sifa ya kuwa chama cha siasa wakati kingali madarakani!.

Hii inamaanisha as of now, Tanzania bado hatuna sheria yoyote ya kuibadili serikali iliyopo madarakani nje ya ballot box!, hata kama serikali hiyo itakuwa ni serikali dhalimu kiasi gani!, na chama tawala, kikishashika madaraka, hata chama hicho kivunje sheria vipi, kitaendelea kuwepo madarakani no matter what!.

My take
Wakati tunasubiria katiba mpya kuziadress such issues, kuna umuhimu wa kuyafanyia mapitio ya double standards za mamlaka ya msajili wa vyama vya siasa, isije kutokea vyama vikafanya makosa ya kustahili kufutwa, msajili akatimiza wajibu wake kwa kuvifuta, watu wakaishia kupiga kelele na kulalamika bure kuwa hawakutendewa haki, waki vyama vingine, vikifanya makosa yale yale, vikiachwa eti kwa sababu ni chama tawala!.

Pia nilimuulizia kidogo kuhusu kuijua JF, akasema anaijua sana na anaisoma, ila anakerwa na baadhi ya wachangiaji ambao wao kazi yao ni kutukana tuu na kuchangia kwa lugha zisizo heshima na staha kwa serikali na viongozi wa taifa hili!. Nilimwambia hiyo ndio maana halisi ya social forums, watu kujiachia watakavyo!.

Naomba kuchukua fursa hii kuwaomba wana JF wenzagu, tunawajibika kuendelea kuijenga jf na kuilinda heshima ya jf kwa kuchangia kistaarabu kwa lugha za heshima na staha kwa watu wote wakiwemo viongozi wa kitaifa!.

Najua kuna wenzetu humu, kwao JF ni just their favorite past time na huja humu wakati hawana shughuli au kitu kingine chochote cha kufanya!, nawaomba mtuhurumie sisi ambao kwetu JF ni zaidi ya nyumbani kwetu, jf ni sebuleni kwetu, jf ni chumbani kwetu, jf ni kitandani kwetu, tunashinda JF, tunakula jf, tunalala JF, tunaamka JF, in short kwa sisi wengine wetu, jf ndio kila kitu kwetu, tunaiishi JF, yaani kwetu JF is our life that we are living for!.

Wasalaam.
Pasco
Safarini Dodoma.
May 14, 2013
NB. Hili ni bandiko la 2013, nimelikutwa limefungwa!, mode ukilifungua, itasaidia sana.
Nimeliibua baada ya kuona kama Chadema wanataka kutafutiwa sababu kwanza kwa kumtafuta MBOWE na kumfanya bangusilo wa kifo cha yule mwanafunzi, ili kuhalalisha udhalimu huu, wanaweza kuwatoa kafara majeruhi fulani, kisha kutumia rungu la sheria kumaliza mambo!.
Kisingizio cha kumhusisha MBOWE ni hoja ya kuandamana bila kibali hivyo kutaka kuigeuzia kibao Chadema ndio imesababisha.

Tunapaswa kufuata sheria, taratibu na kanuni.
Sheria ya maandamano inatoa uhuru wa vyama kuandamana bila kibali, ila sheria hiyo imetungiwa kanuni za kutoa taarifa kwa OCD 48hrs kabla ili akupatie ulinzi. Sasa kama tayari polisi walikuwepo, unatoa taarifa ya nini?.

Taratibu zinaruhusu kufanya maandamamo ya bila kibali kukitokea jambo lolote la dharura, sambamba na mikusanyiko ya bila vibali kukitokea dharura. Mazingira yenyewe ni kama haya niliyoyashuhudia hapa,
Uchaguzi Busanda: Majigambo, Uteuzi na Kampeni kuelekea uchaguzi

Kwanza MBOWE na Chadema hawajavunja sheria, ila wamekiuka kanuni kuandamana bila kibali, ila yale hayakuwa maandamano ya kupangwa, imetokea dharura, hawakutendewa haki, hivyo wamekuwa provoked na kulazimika kuandamana, kufuatia kwa nini CCM tuu ndio wapewe barua za utambulisho na wao wanyimwe?. Provocation ni defense before the court of law, mtu akiwa provocked, anaweza kufanya lolote hadi kuua, na kuachiwa, depending on the nature ya hiyo provocation, na bila maandamano yale, barua za utambulisho zisinge toka, zimekuja kutoka saa 5 usiku!.

Kufuatia mazingira hayo, then, hakukuwa tena na muda wa kufuata taratibu kuomba kibali, bali walikuwa na wajibu wa kufanya maandamano ya Amani, bila fujo wala vurugu yoyote!.

Jeshi la polisi nalo lina mandate ya kutuliza fujo, kwa kudhibiti maandamano yasiyo na kibali, ila yalihitaji busara itemize na sio kwa kutumia nguvu kubwa kuliko iliyohitajika, ila swali linabaki, kwa nini watumie risasi za moto?!. Usikute risasi ile haikufyatuliwa na polisi bali imefyatuliwa na watu wasiojulikana, kama wale wa shambulio la Lissu, na ilikuwa imelengwa kumpata mtu fulani!, ikamkosa, na kumpata malaika yule!.

Chadema shukuruni sana Mungu, maana ingempata mlengwa, saa hizi tungekuwa tunazungumza mengine!.

P.
Wahutu mna roho mbaya sana.
 
May 14, 2013
NB. Hili ni bandiko la 2013, nimelikutwa limefungwa!, mode ukilifungua, itasaidia sana.
Nimeliibua baada ya kuona kama Chadema wanataka kutafutiwa sababu kwanza kwa kumtafuta MBOWE na kumfanya bangusilo wa kifo cha yule mwanafunzi, ili kuhalalisha udhalimu huu, wanaweza kuwatoa kafara majeruhi fulani, kisha kutumia rungu la sheria kumaliza mambo!.

Chadema shukuruni sana Mungu, maana ingempata mlengwa, saa hizi tungekuwa tunazungumza mengine!.

P.
Bandiko hili la 2013, bado liko valid kwa hiki kinachoendelea sasa kwenye kesi ya Mbowe.
P
 
Wanabodi,

Iwapo itathibitika pasipo shaka, (proven beyond reasonable doubt), kuwa viongozi wakuu wa CHADEMA, walijua, walishiriki, na walihusika kwa namna moja au nyingine, katika kupanga au utekelezaji wa vitendo vyovyote vya uvunjifu au kuvuruga amani na utulivu wa taifa hili!, Chama hiki kitapoteza sifa ya kuwa chama cha siasa, na kitafutwa rasmi toka ndani ya daftari la vyama vya siasa, (scraped from the book of political parties), mara moja na bila huruma yoyote!.

P.
Sasa Polisi kama wamepewa hints juu ya wahusika ambao ni Chadema kwa nini hawachukui hatua?
Kuna public crimes na private crimes.

  1. Public crimes ni uhalifu dhidi ya public, hapa polisi wakipokea hint "taarifa za kiinteligencia" ndio wanachukua hatua kama kuzuia maandamano.
  2. Private Crimes ni uhalifu dhidi ya private individuals, polisi haipokei tip wala hai act on this, bali mwenye tip kuhusu private crimes anapaswa aende polisi kuripoti.
  3. Lissu alipofuatiliwa alitoa taarifa kwenye Press Conference, ili polisi wa act alipaswa akaripoti polisi.
  4. Hivyo Dr.Slaa or Dr. Mollel kama , ana ushahidi wa uhalifu wa Chadema akaripoti polisi na sio kuzungumzia mitaani au Bungeni.
  5. Natoa wito, mtu yoyote mwenye ushahidi wowote usiotia shaka kuwa Chadema inahusika na uhalifu wowote, akaripoti polisi na Jeshi makini la polisi likipokea taarifa hiyo, litafanya uchaguzi, likijiridhisha, hatua za uchaguzi wa kijinai zitafanyika na ikithibitishwa, then ndicho kitu hiki nilicho kisema hapa Ikithibitika CHADEMA ilihusika na uvunjifu wa amani, then inapaswa kufutwa kwa mujibu wa katiba! kinatakiwa kufanyika.
P.
 
Back
Top Bottom