Usingizi nitapata wapi? Madem wa kibongo wanatupa pressure
Hivi ww Nyani unafanya kazi gani?? unalala saa ngapi???
Kuna dem kanichanganya, msukuma yaani ni balaa tupu
Hivi Nyani kwa nini huoi?? Kwa experience niliyonayo mtu anayekaa sana mtandaoni hawezi kuwa na mwenza..
I swear Nyani, nimekutana naye chuo, Ana sifa lukuki, kwa uchache sauti yake tu inaweza kumtoa nyoka...., mrefu, ana kibyongo, .......mengine ni siri yangu
Kuna siku nilikutana na Nguli, nikamuuliza unamjua Nyani?? unamjua Nyani? unajua alinijibu nini?
Nguli ni rafiki yangu, anakujua sana, uliwahi kuja Bongo ukawa unazunguka naye,
Nikamuuliza body yake ikoje? .....Una manyama mengi mwilini
Ahahahahahaaaa Nguli hanijui nje ya mtandao. Sijawahi kabisa kukutana naye kwa hiyo hata kuzunguka naye sijawahi.
Halafu kwa nini uliulizia body yangu wewe Boflo? Ama kweli umedata wewe.
Na wala sina manyama mengi mwilini. Huo ni uongo mtupu. Kwa hiyo ninakuambia kwa uhakika kabisa kuwa huyo rafiki yako alikudanganya (kama kweli ulichosema kina ukweli).
Siwezi kukudanganya........naweza kukupa hata namba ya Nguli kwenye fesibuku umuulize, au nikupe kwa pm ukitaka?
mwanaume learn ths!usianze kumgharamia mwanamke b4 hamjaoana,kama ukimpa fanya kama sadaka never recal it,mana utaja umia,coz najua pamoja na kumpenda kinachouma zaid ni unavyojibna hata kuwanyima ndugu zko damu ma2miz 4 her afu mwshni analeta poz,ujue sie kumwaga demu ni ndani ya cku mbil 3 umesahau.
Lingne ukiwa nae karibu akakujibu lugha chafu namna hyo,we chapa vibao kama vitano vya nguvu then kaa kwenye mlango alie vya kutosha then akinyamaza mbembeleze,kimya kimya atakuheshmu na kujua nipo na mwanaume c mvulana.
Ushaur kama haupo nae karibu ok punguza wivu wasiliana kwa tabu hvyo hvyo ila cku ukiwa nae ndo wakati wko wa karibu kumwambia napenda moja mbili 3.
habari zenu wana jf
hayo maneno (ikimegwa haifanyi alama) nimepewa na mpenzi wangu ambaye nimemgaramikia kwa mambo mengi
na nilikuwa na mipango mingi sana juu yake.
Baada ya kumwambia asivae nguo za mitego wakati akienda kazini, na alipobaini kuwa namfatilia, ndipo akakasirika
na kuniambia kuwa hapendi kufatiliwa, na nisijisumbue kwa sababu hata akimegwa, ile mashine yake haiwezi
kuwa na alama yoyote, kwa hiyo hakuna haja ya kupata pressure bure, nimehuzunika na kusikitishwa sana na kauli
hii cause mpaka sasa hivi nimemgaramikia sana huyu mtu. Sina hamu na maisha, sasa hivi ninatafakari mambo mengi sana