Kulikuwa kuna mawaiza gani maana eneo nililokuwepo baada swala tunajua kuna mawaiza ila cha kushangaze mawaiza yalipofikia wakapunguza saatu za vifaa.
Nikashangaa maana sio kawaida.
Mkuu Mimi Sina dini japo sidharau dini ya mtu.Misikiti karibia yote Leo wamelitaja jina la Samia mara 30 hivi!
Hivi huyu bibi yupo?
Huyu mama hawezi kutumia VPN.Hivi huyu bibi yupo?
Yeah heshima kwenye Imani za watu ni muhimuMkuu Mimi Sina dini japo sidharau dini ya mtu.
Walikua wanakula wali na nyamaKulikuwa kuna mawaiza gani maana eneo nililokuwepo baada swala tunajua kuna mawaiza ila cha kushangaze mawaiza yalipofikia wakapunguza sauti za vifaa.
Nikashangaa maana sio kawaida.
Kumbe kupunguza sauti wanaweza.🤣🤣Kulikuwa kuna mawaiza gani maana eneo nililokuwepo baada swala tunajua kuna mawaiza ila cha kushangaze mawaiza yalipofikia wakapunguza sauti za vifaa.
Nikashangaa maana sio kawaida.
Hakika mkuu japo mashehe wamechemsha sana awamu hii.Yeah heshima kwenye Imani za watu ni muhimu
kwa hiyo kuna makobazi na majoho?Hayawahusu nyie majoho!!
Ni kawaida Yao kutoa Boko.Hakika mkuu japo mashehe wamechemsha sana awamu hii.
kumbe we ni kobazi? La wapi, dar au mchambawima?Tunataka kuwachinja nyumbu wezi na waharibifu wa mali za watu.