Nyenyere
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 14,770
- 10,650
- Thread starter
- #261
Unajua nguvu wanayotumia kupata utajiri wao? Umeshasema ni mafuska, sasa tafakari ni mungu yupi anayeruhusu hayo. Wengine wanafanya hivyo kutimiza maagano. Tazama imani za mitume na manabii wa leo, ni mafuska nje ndani!! Wanapotenda hayo wanazidi kuwa maarufu na matajiri, unadhani ni nguvu ipu iwapayo utajiri? Kama wewe umeamua kufuata upande huo, usichanganye ya Mungu Mwenyezi, kuwa mshirikina tu inatosha.Matajiri wanasex balaa na ajabu utajiri wao hauishi, Ila Sasa mtu fukara yeye anaambiwa fukara kwakuwa anatombana na aache kabisa...
Suleimani alitomba mpaka Basi Ila hakufilisika hata midogo...
Maskini wanaonewa Sana hapa duniani