chapangombe
JF-Expert Member
- Sep 28, 2014
- 362
- 289
Kabla ujaingia Katika manunuzi ya nyumba au kiwanja omba kopi ya hati ukafanye official search kujilizisha kuwa kweli ni Mali harali ya muhusika
.kutembelea eneo husika kuangalia Kama halina changamoto ya kimazingira Kama vile kujaa maji au hapafikiki
kufatilia valuation report kujua uhalisia wa thamani ya eneo husika
Kujilizisha Kama nyumba haijaombewa mkopo
kujilizisha kuwa nyumba sio yenye mgogoro
Kujilizisha kuwa mke,au mume ametoa consent ya kuuzwa
kujilizisha kuwa nyumba haina mgogoro wa mirathi
kujilizisha kuwa eneo halipo Katika mipango ya serikali Kama vile shule,hosp,nk
kujilizisha kuwa anayeuza ndiyo mmiliki
Baada ya kujilizisha basi hatua inayofuata ni kuandaa mkataba wa kisheria ambao umeandaliwa na wakiki
Kuwepo na hakikisho la kulipwa kwa Kodi za eneo husika
Kuwepo na hakikisho la kulipwa kwa Kodi ya proparty tax
Kuwepo na hakikisho la kulipwa kwa Kodi ya capital gain tax
Lazima stamp duty ilipiwe
Kusajiri uhamishaji wa umiliki
Ofisi inayo husika ni ofisi ya msajiri wa nyaraka
Vitu vingine muhimu vina vyotakiwa ni pamoja na taarifa ya kiapo Cha kukubali kuuzwa na mwenza Kama umeoa
Kuwepo na taarifa ya ahadi lini utajenga kiwanja husika.
Fomu zinazotakiwa
F.29
F.30.
F.35
F.38
UShauri kumekuwepo na migogoro mingi ya ardhi kwa sababu ya watu kukwepa wataalamu Katika mchakato wa manunuzi hivyo kuingia kwenye migogoro ya kesi kwa gharama kubwa.
Hivyo ni UShauri wangu tafuta wataalamu Katika mchakato wa mauziano
NB. Mjumbe,mwenyekiti wa serikali,mtendaji sheria haiwatambui wasimamie zoezi la uuzwaji wa nyumba au kiwanja be aware
Thank
.
.kutembelea eneo husika kuangalia Kama halina changamoto ya kimazingira Kama vile kujaa maji au hapafikiki
kufatilia valuation report kujua uhalisia wa thamani ya eneo husika
Kujilizisha Kama nyumba haijaombewa mkopo
kujilizisha kuwa nyumba sio yenye mgogoro
Kujilizisha kuwa mke,au mume ametoa consent ya kuuzwa
kujilizisha kuwa nyumba haina mgogoro wa mirathi
kujilizisha kuwa eneo halipo Katika mipango ya serikali Kama vile shule,hosp,nk
kujilizisha kuwa anayeuza ndiyo mmiliki
Baada ya kujilizisha basi hatua inayofuata ni kuandaa mkataba wa kisheria ambao umeandaliwa na wakiki
Kuwepo na hakikisho la kulipwa kwa Kodi za eneo husika
Kuwepo na hakikisho la kulipwa kwa Kodi ya proparty tax
Kuwepo na hakikisho la kulipwa kwa Kodi ya capital gain tax
Lazima stamp duty ilipiwe
Kusajiri uhamishaji wa umiliki
Ofisi inayo husika ni ofisi ya msajiri wa nyaraka
Vitu vingine muhimu vina vyotakiwa ni pamoja na taarifa ya kiapo Cha kukubali kuuzwa na mwenza Kama umeoa
Kuwepo na taarifa ya ahadi lini utajenga kiwanja husika.
Fomu zinazotakiwa
F.29
F.30.
F.35
F.38
UShauri kumekuwepo na migogoro mingi ya ardhi kwa sababu ya watu kukwepa wataalamu Katika mchakato wa manunuzi hivyo kuingia kwenye migogoro ya kesi kwa gharama kubwa.
Hivyo ni UShauri wangu tafuta wataalamu Katika mchakato wa mauziano
NB. Mjumbe,mwenyekiti wa serikali,mtendaji sheria haiwatambui wasimamie zoezi la uuzwaji wa nyumba au kiwanja be aware
Thank
.