Ijue mitego 3 ya kichawi

Ijue mitego 3 ya kichawi

NI watu wasiomwabudu Mungu wa kweli ndiyo watakayojazwa hofu hii,huu ni uganga na ushirikina mtupu.
 
Kwa wanaomuamini Mungu wa kweli hakuna nguvu za kichawi juu yao,watakanyaga NYOKA,NGE,kunywa sumu wala hawatadhurika.
 
Kwa wanaomuamini Mungu wa kweli hakuna nguvu za kichawi juu yao,watakanyaga NYOKA,NGE,kunywa sumu wala hawatadhurika.
 
Nilichanjiwaga hizi dawa. Nmekuwa nkiona vtu vya ajabu sana kutumia hz dawa n kama mateso mda mwngne maana kuna mda unaweza ukaka na watu ukaona ktu cha ajbu lkn wenzio hawakion
 
Kwa wanaomuamini Mungu wa kweli hakuna nguvu za kichawi juu yao,watakanyaga NYOKA,NGE,kunywa sumu wala hawatadhurika.
Mkuu, inategemea huyo NYOKA/NGE umemkanyaga katika hali gani ni Bahati mbaya au makusudi, pia inategemea na hiyo SUMU umeinywa katika hali gani,ulikuwa unajua kama unakunywa SUMU au hujui? Mwisho wa yote kila kitu kinaongozwa na IMANI wapo wanaoamini uchawi unawadhuru na wapo wanaoamini uchawi HAUWEZI KUWADHURU (mimi nikiwa mmoja wapo). Ila ukweli uchawi upo
 
dawa ni YESU tuu! huyu jamaa ameficha ukweli! wala msiangaike ni Yesu kristo tuu ndio dawa yao hawa! hata wewe mtoa posti! hebu jaribu Yesu hii ndio dawa ya shida zote!
Hapa mtoa mada atajifanya kupotezea! Yesu ni kikwazo thabiti kwa wachawi, waganga wa Kienyeji, waaguzi, majini aina zote, hata kwa baba wa wote hao shetani mwenyewe! Wote hao wameshakutana naye kwa namna moja au nyingine! Yesu ni kiboko yao!
Kinga dhidi ya wote hao ni kuwa na Yesu! Utatamba duniani kisha utafika mbinguni! Binafsi nilifika mahala nikaamua kujisalimisha kwa Yesu! Ni salama salimini.
 
Mambo hayo yapo sana Mkuu Mzizi Mkavu....Mimi Marehemu Uncle Wangu Alikuwa Anaitwa Babu Kijiji Kizima Alikuwa Poa sana anasaidia Watu Kijiji Kizima unampa chochote kile Ajabu Sijawahi kutumia Mzizi hata Siku Moja Na Mara Nyingi Nilikuwa Naenda kuwasalimia Kijijini halafu uncle alikuwa zaidi ya uncle kwangu..Lakini kuna Siku Nilikutana Na Mzee akaniambia Mnajadi Nzito sana kwenu mtu akikuguza Balaa ambalo atakalo pata atasahau kwenye maisha yake...ni kitambo kimepita yule babu cjamuelewa Mpaka leo...Unaweza kunifafanua kidogo Mzizi Mkavu
Mna jadi mambo ya kiganga kwenu katika familia.
 
Mimi nilikuwa naishi na mwanaume mshirikina bira kujua kwa muda mwingi lakini nilikuwa namuonaga analeta DAWA ndani nilikuw najaribu kunuelimisha madhala ya ushirikina lakini akusikia kwanza kumbe alikuwa anania mbaya na Mimi alikuwa ananitesa anipi matunza njaa iki izidi nakimbilia kwetu kura nikirudi mama yake ana mwambia mwanawe aungushiwa kipigo maana Hugo mama tulikuw tunakaanae jirani anakuja asubui anachukua pesa Mimi nikiomba ananiambia mama amesha chukua in kimlalamikia.

Mama yake achukui hatua yoyote nikagundua mume anakomandiwa na mama yake .sasa basi nikaanza biashara ndogondogo ili kujikimu mume ndio kabisa at a kodi alipi na anapinga kufanyabiashara nami nikakoma nae nikabadili biashaa nikamzidi kipatato akanza wizi na kutuma mpaka watu kunitapeli pesa na huku Mara na mkuta na hilizi mfukoni Mara matalasi chini ya kapeti siku moja wakati narudi kazini nikawakuta watoto wana hofu nikawabana wakaninibu'mama ulivyotutuma tutoe godoro lako nje tumekuta nguo nyeusi ina vitu atuvielewi'nilichoka ,alivyorudi nikamyoji na kumbana baba yao akanijibu akakiri alifanya dawa ya kuniroga Mimi ili nimpege ruti za kwenda mikoani kupelekaga mzigo nikamuuliza umeniroga Mara ngapi akajibi hii in mata ya PILI enhee nilichanganyikiwa.

Alifikia hatua ya kufundisha adi watoto mwisho wakamubua.nimemtimua Japo niliishi nae muda mwingi alishindwa kufunga ridhiki yangu kwa uwezo wamwenyezimungu alikuwa ananiibiapesa nyingi mno nilikuwa nafirisika na panda nafirisika napanda mwisho alichukua msingi wote.kweli anaekudhu mtu anae kujua.
 
Duh hizo nyoka mwaka jana zimenisumbua sana. Nikapata ajari za ajabu ajabu nyingi lakini npo mzima.Kilichofata nikajisalimisha kwa YESU mzima mzima, sasa nipo full. Hayo manyoka nakili hayawezi kunitokea tena. Nimepata maneno yako niliyokuwa sina majibu nayo!, loh tulio wa Mungu hatutakufa kwa wachawi nami nitasimulia kwa upande wangu binafsi!!!!!!!!!!!!!!!!1
Mkuu tulio ndani ya Yesu tuna raha sana hatuhitaji kijiti wala unga nakumbuka mwaka Jana walinitumia nyoka chooni nikajiuliza huyu amewekwa au amepanda mwenyewe kutokana na mazingira aliyokuwepo sikumuua nikamwacha kesho yake usiku akaingia chumbani nikamuua tokea hapo niliumwa almanusura niondoke lakini namshukuru Mungu alinihudumia na mpaka sasa ni mzima,sikujua kabla ila baada ya kusoma huu Uzi wa mziz mkavu nimepata jibu.Kumtegemea Mungu kuna faida
 
Mkuu tulio ndani ya Yesu tuna raha sana hatuhitaji kijiti wala unga nakumbuka mwaka Jana walinitumia nyoka chooni nikajiuliza huyu amewekwa au amepanda mwenyewe kutokana na mazingira aliyokuwepo sikumuua nikamwacha kesho yake usiku akaingia chumbani nikamuua tokea hapo niliumwa almanusura niondoke lakini namshukuru Mungu alinihudumia na mpaka sasa ni mzima,sikujua kabla ila baada ya kusoma huu Uzi wa mziz mkavu nimepata jibu.Kumtegemea Mungu kuna faida
kweli kabisa kiongozi!
 
Mkuu kwanini iwe Jina la mama na siyo Baba?
Swali Uchawi wa Kuchanjwa sehemu kwenye mwili kichawi hili likoje Mkuu MziziMkavu
Kuchanjwa sehemu ya mwili wako ni ishara kuwa wewe sasa umetiwa katka kundi la wachawi wanakutumia usiku kwa mambo yao ya kiuchawi chawi. kama unazo chale mwilini mwako nenda haraka kwa mganga wa asili ili azitowe hizo chale ana akutengeneze dawa ili wachawi wasiweze tena kukuachukuwa kiuchawi. Wachawi ni watu wabaya sana Duniani Mungu atulinde nao amin.
 
Kuchanjwa sehemu ya mwili wako ni ishara kuwa wewe sasa umetiwa katka kundi la wachawi wanakutumia usiku kwa mambo yao ya kiuchawi chawi. kama unazo chale mwilini mwako nenda haraka kwa ili azitowe hizo chale ana akutengeneze dawa ili wachawi wasiweze tena kukuachukuwa kiuchawi. Wachawi ni watu wabaya sana Duniani Mungu atulinde nao amin.

Asante Mkuu!
 
Back
Top Bottom