wambura marwa
JF-Expert Member
- Mar 7, 2015
- 2,171
- 1,129
ukijibu kuwa utakuwepo inakuwaje?
Ukija kuwa utakuwepo ndipo umepona Mkuuukijibu kuwa utakuwepo inakuwaje?
We acha kudaganya watu andiko gan yesu kasema Mimi ni munguKwa sisi tunaoishi kwa imani kuu tumefichwa chini ya mwamba,wachawi hawatupati ng'ooooooo,In the name of Jesus Mungu wetu ni wa ishara na maajabu,najivunia kuwa ndani ya Yesu
Basi kama ndo ivyo ni kukomaa na sala.Ndio wakigunduwa Wachawi umewaona watakupiga vita ufe ili usije kutowa siri zao ni kweli kabisa.
Umeonaa mkuu kujua Sana'a tens ni shedaaaHii dunia the less you know the better