Guest from Wazua
JF-Expert Member
- Feb 9, 2015
- 212
- 95
Bullshit,ask those witches to come and spell a cast on me,Tell me what is needed from my end?
Just pooped inn Mbushuu
Ukitaka atumie Abdallha au Asha??Ulikosa jina la kutolea mfano mpaka ukatumia ALLY? umeniudhi sana leo!!!!
Mkuu kwanini iwe Jina la mama na siyo Baba?
Swali Uchawi wa Kuchanjwa sehemu kwenye mwili kichawi hili likoje Mkuu MziziMkavu
Ama kweli hili ni rejeo la masuala ya baba wakusingiziwa!Kwa sababu ni uhakika 100% kuwa yule ni mama yako mzazi
Asimilia 49 ya wababa tz si baba halisi wa watoto wanao ambiwa ni wao, nafikiri ndo inaweza kuwa sababu piaKwa sababu ni uhakika 100% kuwa yule ni mama yako mzazi
Ama kweli hili ni rejeo la masuala ya baba wakusingiziwa!
Anyway kwa hiyo na mama kama Jina la Baba yake ni yakusingiziwa hilo likoje?
Nimekupata nikiamini MziziMkavu alimaanisha hivyo.Kama umefuatilia vizuri hiyo mada amesema ni jina la mama na si jina la baba wa mama
Special invitationwhy have you pooped here?
Yeah ngoja nijiweke sawa kakaNaona mshana tayari umeshaawasili ukitokea.. na ndege ya alasiri!!
Nimekupata nikiamini MziziMkavu alimaanisha hivyo.
Nadhani ni wakati safari ya kuanza kutafiti matumizi ya Majina ya Mama zetu badala ya za Baba maana yawezekana haya majina ya Baba zetu 50% zingine Feki.
Mambo ya DNA na.mkemia hapo ndo yanahusikaKwa sababu ni uhakika 100% kuwa yule ni mama yako mzazi