winnerian
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 335
- 530
1. Wameshaanda mkakati mpya wa kuendelea kuiteka Africa na visiwa vyake vyoete kiuchumi, kiteknolojia na kijamii.
2. Makampuni makubwa yameshapewa zana za kazi kuingia kwa kasi ya 5G Africa na duniani kote kufanya biashara na kurudisha faida yote China (hawana mchezo wanachukua mpaka mia)
3. "TRA" yao imeshapewa muongozo wa kusamehee kodi zote makampuni yote yanayofanya biashara nje ya China, duniani huko na kurudisha hela nyumbani.
4. Wafungwa wote wenye vipaji na utaalamu wapo standby kuja kutumika ili kupunguza gharama za makampuni ya serikali (ambayo ni yote tu kwa ujumla).
5. Wameshaanda list ya nchi zote zenye manufaa kwao na kwa namna gani waanze kuziingia na kuzinglaghai zikubali kuingia mkenge ili wazinyonye to the maximum.
6. Sheria na kanuni za kazi na ajira zimeshapitiwa upya kuendana na kasi ya dunia (hawa jamaa hawana kuremba).
7. Viwanja vya ndege vingine vinaongezwa kuongeza kasi ya usafirishaji na biashara ya nje.
8. Sheria za kijinga ambazo hazina tija kwa watu wa china zimeshapigwa chini na zile zenye manufaa kwa watu wa China zimeibuliwa na tayari zinafanya kazi.
Nchi nyingi za Africa bado hazitambui cha kufanya kuwawezesha watu wao kufanya mambo makubwa sababu viongozi wa kisiasa hawataki kuone watu wao wanafunguka na kuwa wenye nguvu kiuchumi, kiteknolojia, na kijamii.
Bado wengu wao wanatamani kutawala wajinga wasiojitambua, wasiokuwa na uelewa dunia inavyonda kwa kasi.
ZABUNI ZOTE NYETI WANAGAWA KWA HAWA WACHINA na kufurahia wananchi wao kuwa vibarua watumwa katika kampuni kubwa za china.
2. Makampuni makubwa yameshapewa zana za kazi kuingia kwa kasi ya 5G Africa na duniani kote kufanya biashara na kurudisha faida yote China (hawana mchezo wanachukua mpaka mia)
3. "TRA" yao imeshapewa muongozo wa kusamehee kodi zote makampuni yote yanayofanya biashara nje ya China, duniani huko na kurudisha hela nyumbani.
4. Wafungwa wote wenye vipaji na utaalamu wapo standby kuja kutumika ili kupunguza gharama za makampuni ya serikali (ambayo ni yote tu kwa ujumla).
5. Wameshaanda list ya nchi zote zenye manufaa kwao na kwa namna gani waanze kuziingia na kuzinglaghai zikubali kuingia mkenge ili wazinyonye to the maximum.
6. Sheria na kanuni za kazi na ajira zimeshapitiwa upya kuendana na kasi ya dunia (hawa jamaa hawana kuremba).
7. Viwanja vya ndege vingine vinaongezwa kuongeza kasi ya usafirishaji na biashara ya nje.
8. Sheria za kijinga ambazo hazina tija kwa watu wa china zimeshapigwa chini na zile zenye manufaa kwa watu wa China zimeibuliwa na tayari zinafanya kazi.
Nchi nyingi za Africa bado hazitambui cha kufanya kuwawezesha watu wao kufanya mambo makubwa sababu viongozi wa kisiasa hawataki kuone watu wao wanafunguka na kuwa wenye nguvu kiuchumi, kiteknolojia, na kijamii.
Bado wengu wao wanatamani kutawala wajinga wasiojitambua, wasiokuwa na uelewa dunia inavyonda kwa kasi.
ZABUNI ZOTE NYETI WANAGAWA KWA HAWA WACHINA na kufurahia wananchi wao kuwa vibarua watumwa katika kampuni kubwa za china.