Mnyiramba
JF-Expert Member
- Jun 19, 2022
- 1,112
- 2,957
Naam!, ijue kwanza nyumba yako kabla haujaijenga!
Ukiijua vizuri nyumba yako kabla haujaijenga utapigwa sana na utamaliza hiyo nyumba umechoka sana!
Hapa kupigwa kupo kwa namna nyingi ama ununulishwe vitu vingi zaidi ambavyo vitabaki bila kuwa na matumizi mengine ama kununulishwa vitu sawa lkn nyumba ikatengenezwa chini ya kiwango na material kuuzwa sehemu nyingine!
Wakuu hakuna raha isiyo na kifani kama kusimamia nyumba yako kama Engineer na sio kama mmiliki
N:B leo langu la kujenga min ghorofa lipo pale nimejaribu pia kuwasiliana na mafundi kadhaa ila nimegundua vichwani ni weupe kama uwele!
Ulitegemea akili zao binafsi utatumia gharama kubwa sana zisizokuwa na manufaa!bora ujifunze na kufanya utafiti muda mrefu itakusaidia sana kuokoa gharama
Ukiijua vizuri nyumba yako kabla haujaijenga utapigwa sana na utamaliza hiyo nyumba umechoka sana!
Hapa kupigwa kupo kwa namna nyingi ama ununulishwe vitu vingi zaidi ambavyo vitabaki bila kuwa na matumizi mengine ama kununulishwa vitu sawa lkn nyumba ikatengenezwa chini ya kiwango na material kuuzwa sehemu nyingine!
Wakuu hakuna raha isiyo na kifani kama kusimamia nyumba yako kama Engineer na sio kama mmiliki
N:B leo langu la kujenga min ghorofa lipo pale nimejaribu pia kuwasiliana na mafundi kadhaa ila nimegundua vichwani ni weupe kama uwele!
Ulitegemea akili zao binafsi utatumia gharama kubwa sana zisizokuwa na manufaa!bora ujifunze na kufanya utafiti muda mrefu itakusaidia sana kuokoa gharama