Ijue historia ya kaburi la Sharif Abdushakur Salim Al Attas lililopo Samora, Posta Jijini Dar es Salaam

Siku zote ulikuwa hulijui hilo?

Kwakweli sikua nalijua hili... anazungumza openly namana hii.. vipi Prof. Safari akikutana na thread hii watatazamanaje humo ofisini?? au wanachama wa chadema huko ZNZ, Pwani na maeneo mengine.. wakichukulieje chama ikiwa vijana waandamizi wanamitazamo hii?? nadhani chadema wawe makini sana na vijana wao wasije tafuta mchawi 2015... sina haja tena na chama hiki personally ... huwezi sema yale aliyozungumza ni mtazamo wake binafsi na sio wachama,,, kwani chama ni nyumba na viti chama ni watu....
 
ni hatari sana kwa kijana mdogo kuwa na mawazo ya kishirikina kama haya, sijui ukiwa mzee itakuwaje
 
Wewe ndugu, mwenzio anakuambia ana cm ya Nokia torch, wewe unamsahisha, jmoo na J nukta mall nukta angalia ujumbe mbona wengi tumemwelewa
 
Mbona Said Ibin Batuta kazikwa kwenye jengo la jiji, hayo kawida tuu, sehemu zote yalikoanguka magorofa kuna makaburi basi kwa taarifa yenu.
 
Waungwana kwa yeyote anaejua vizuri jiji la dar maeneo ya posta kuna kaburi moja tu la kipekee makutano ya samora street na india street karibu na clock tower, pembeni kidogo kuna bank ya NMB, Jmoo au maarufu kama harbour view!

Pana kontena la voda hivi! Hili kaburi nimejaribu kwa mda mrefu kuwauliza wale wanaoshinda eneo hilo hasa madereva tax wamesema hawajui ni la nani!Sasa ndugu wana jf kwa yeyote anaejua juu ya kaburi hili tena limejengwa kwa marumaru nyeupe anipe ufafanuzi!Je lina uhusiano wowote na ukombozi wa taifa hili?

Je lina uhusiano wowote na jiji la dar? Je lina uhusiano wowote na ccm -majangili-mamafia-mumiani?

Natumia simu ningeweza kupost na picha yake ila kama kuna mdau aliyejirani na eneo hilo anaeweza kupost picha naomba afanye hivyo!

Rekebisha jina la bank..... ni NBC na sio NMB
 
Uislamu nijuavyo ulianzia kule Kilwa iweje huyu mtz azikwe pale? Je huko kilwa hakuna watz wa mwanzo kabisa walioamini uislamu? Kwanini waislamu hawamuenzi Imam wao wa mwanzo badala yake wanakaa kueneza udini kupitia kwa Alhaj JK mkweree?

mara nyingi nakuonaga huna akili lakini hapa ndio umejidhihirisha uchizi na chuki zako za kidini ------ wako wewe,nyie na padre wenu mlivyoeneza ukatoliki hamkujiona?

ndio sababu ya kupambana na kijana wa kiislamu kutoka kigoma? aliyewazidi akili cdm nzima?

mshafilisika
 
Nilishastuka mapema sana WAISLAMU cdm tunajipendekeza ni taasisi ya kanisa hiyo amnipati tena.
 
Wewe Yericko Nyerere/ Jason Bourne,lengo la uzi wako sio kujua uwepo wa kaburi bali ni dini ya aliyezikwa kwenye kaburi. Mmemsakama weee Zitto kwa sababu ya dini yake,na sasa umeona haitoshi mpaka uhoji na waliozikwa kwenye makaburi!

Hebu hoji basi na uwepo wa msikiti wa India katikati ya Posta kwamaana nayo ni identity ya uislam. Chuki dhidi ya uislam na waislam haitakupa mchango wowote katika jamii labda ni ndani tu ya chama chenu. Ama ulitaka azikwe Nyerere pale?
 
Last edited by a moderator:
Wewe Yericko Nyerere/ Jason Bourne,lengo la uzi wako sio kujua uwepo wa kaburi bali ni dini ya aliyezikwa kwenye kaburi. Mmemsakama weee Zitto kwa sababu ya dini yake,na sasa umeona haitoshi mpaka uhoji na waliozikwa kwenye makaburi!

Hebu hoji basi na uwepo wa msikiti wa India katikati ya Posta kwamaana nayo ni identity ya uislam. Chuki dhidi ya uislam na waislam haitakupa mchango wowote katika jamii labda ni ndani tu ya chama chenu. Ama ulitaka azikwe Nyerere pale?

Wewe mpuuzi kweli, thread ya mwaka 2011 na mambo ya Zitto wapi na wapi?
 
Last edited by a moderator:
Wewe mpuuzi kweli, thread ya mwaka 2011 na mambo ya Zitto wapi na wapi?


Sasa wewe naye unatetea upuuzi wa Yericko Nyerere! Hiyo inaonesha namna CHADEMA mlivyo. Thread ya 2011 lakini maudhui yake iko wazi. Huhitaji nguvu nyingi kujua,ungekuwa na hoja endapo labda sakata la Zitto lingekuwa limetokea kabla ya 2011. Mwendelezo huo wa kibaguzi ndio umewafikisha mlipo.

Kuupiga vita na kuukebehi uislamu na waislamu haisababishi kuishinda CCM. Yericko Nyerere ni propagandist wa CHADEMA kwenye mitandao,ni vema angetumia muda na ujana wake kushawishi umma kuiondoa CCM na sio kutumia hayo kueneza chuki za kidini.
 
Last edited by a moderator:
Jason bourne, asante kuulizia makaburi kati kati ya jiji, nenda na pale Jengo la Utumishi, opposite Feri, next to Ikulu, utakuta makaburi lukuki. Wizara ya Tamisemi jijini ina makaburi kibao, pia kaulize ni ya nani?.

HAHAHAHAA mbavu zangu mie
 
Mimi nalijua vizuri sana lipo maeneo ninako ishi. Marehemu ni MTANZANIA wa kwanza kuwa IMAMU ktk miaka hiyo ya 1800. Usisahau maunganisho yale ni ya mitaa ya Msikiti na India na yanaendelea hadi Samora. Jina lake silikumbuki. Asante. kaburi hili limekuwa kama limetupwa lakini ni historia nzuri sana. Japo linatunzwa hakuna kibao chochote cha kuonyesha historia ya IMAMU wetu huyu.

Asante kwa maelezo mazuri ya kuanzia kwakuwa alikuwa ni imamu
Nakhis atakuwa kati ya wale waiitwao wazee wa dar na katika hili maalim Mohamed Said na Gs-300; nadhani watatupa mwanga katika hili
 
Last edited by a moderator:
Uislamu nijuavyo ulianzia kule Kilwa iweje huyu mtz azikwe pale? Je huko kilwa hakuna watz wa mwanzo kabisa walioamini uislamu? Kwanini waislamu hawamuenzi Imam wao wa mwanzo badala yake wanakaa kueneza udini kupitia kwa Alhaj JK mkweree?

Mnafiki/mwenyechuki utamjua
tuu kwa maandiko yakena mataamshi

Hivi ww bila ya kuwasakama waisilaamu huooni raha

Mwana haramu hata akawekwe kwenye chupa atatoa kidole tuu
 
Back
Top Bottom