Ijue historia ya kaburi la Sharif Abdushakur Salim Al Attas lililopo Samora, Posta Jijini Dar es Salaam

hili kaburi lipo opposite na NBC Samora na sio NMB kama alivyopost. Ukweli kidogo uliopo ni kuwa liliibuka wakati wa utawala wa Mzee Mwinyi lakini (sina uhakika) kulikuwa hakuna kitu na baadhi ya marafiki (nadhani waislamu) wakaibuka na kusema aliwahi kuzikwa Ustaadh mmoja siku za nyuma. Watu waliamka asubuhi wakakuta limejengewa na baada ya ubishi kidogo yakaingizwa mambo ya udini, nadhani Mzee Kitwana Kondo ndiye alikuwa Mayor. Katika mivutano zaidi ndiyo wakaliwekea kabisa tiles.
Lakini fikiria tangia dunia iumbwe, kweli ni rahisi kujua ni sehemu gani watu wote waliowahi kuishi walizikwa wapi ili kupajengea makaburi!? Kwa vile aliyezikwa pale hajulikani bali kuna hizo assumptions, ni bora tu kungebakishwa bustani maana nazo zinatukuza waliokufa lakini lile kaburi 'linastua'
Mimi nalijua vizuri sana lipo maeneo ninako ishi. Marehemu ni MTANZANIA wa kwanza kuwa IMAMU ktk miaka hiyo ya 1800. Usisahau maunganisho yale ni ya mitaa ya Msikiti na India na yanaendelea hadi Samora. Jina lake silikumbuki. Asante. kaburi hili limekuwa kama limetupwa lakini ni historia nzuri sana. Japo linatunzwa hakuna kibao chochote cha kuonyesha historia ya IMAMU wetu huyu.
 
hili kaburi lipo opposite na NBC Samora na sio NMB kama alivyopost. Ukweli kidogo uliopo ni kuwa liliibuka wakati wa utawala wa Mzee Mwinyi lakini (sina uhakika) kulikuwa hakuna kitu na baadhi ya marafiki (nadhani waislamu) wakaibuka na kusema aliwahi kuzikwa Ustaadh mmoja siku za nyuma. Watu waliamka asubuhi wakakuta limejengewa na baada ya ubishi kidogo yakaingizwa mambo ya udini, nadhani Mzee Kitwana Kondo ndiye alikuwa Mayor. Katika mivutano zaidi ndiyo wakaliwekea kabisa tiles.Lakini fikiria tangia dunia iumbwe, kweli ni rahisi kujua ni sehemu gani watu wote waliowahi kuishi walizikwa wapi ili kupajengea makaburi!? Kwa vile aliyezikwa pale hajulikani bali kuna hizo assumptions, ni bora tu kungebakishwa bustani maana nazo zinatukuza waliokufa lakini lile kaburi 'linastua'
Tutajua tu ukweli juu ya kaburi hili!!
 
Waungwana kwa yeyote anaejua vizuri jiji la dar maeneo ya posta kuna kaburi moja tu la kipekee makutano ya samora street na india street karibu na clock tower, pembeni kidogo kuna bank ya NMB,Jmoo au maarufu kama harbour view! Pana kontena la voda hivi! Hili kaburi nimejaribu kwa mda mrefu kuwauliza wale wanaoshinda eneo hilo hasa madereva tax wamesema hawajui ni la nani!Sasa ndugu wana jf kwa yeyote anaejua juu ya kaburi hili tena limejengwa kwa marumaru nyeupe anipe ufafanuzi!Je lina uhusiano wowote na ukombozi wa taifa hili?Je lina uhusiano wowote na jiji la dar?Je lina uhusiano wowote na ccm -majangili-mamafia-mumiani? Natumia simu ningeweza kupost na picha yake ila kama kuna mdau aliyejirani na eneo hilo anaeweza kupost picha naomba afanye hivyo!
Jason bourne, asante kuulizia makaburi kati kati ya jiji, nenda na pale Jengo la Utumishi, opposite Feri, next to Ikulu, utakuta makaburi lukuki. Wizara ya Tamisemi jijini ina makaburi kibao, pia kaulize ni ya nani?.
 
Jason bourne, asante kuulizia makaburi kati kati ya jiji, nenda na pale Jengo la Utumishi, opposite Feri, next to Ikulu, utakuta makaburi lukuki. Wizara ya Tamisemi jijini ina makaburi kibao, pia kaulize ni ya nani?.

Makaburi yote mijini yapitishwe grader yanaharibu taswira ya mji. Eti kumbukumbu inatusadia nini?
 
Duh! Haya mambo ya watoto wa mujini sisi tulioko gezaulole ni tabura-rasa tu hapo. Manyotanyota tu usoni.

Cc Warumi
 
Nimewahi kusikia kuwa eneo hilo lilikuwa na milikiwa na mtazania mmoja mwenye asili ya kiasia, alifariki mika ya mwanzoni baada ya Tanganyika kupata uhuru, wosia wake aliomba eneo lirudishwe serikalini na lili liwe bustani na yeye azikwe hapo, nyumba iliyokuwepo ibomolewe kwani hakuwa na ndugu wengine

Waungwana kwa yeyote anaejua vizuri jiji la dar maeneo ya posta kuna kaburi moja tu la kipekee makutano ya samora street na india street karibu na clock tower, pembeni kidogo kuna bank ya NMB,Jmoo au maarufu kama harbour view! Pana kontena la voda hivi! Hili kaburi nimejaribu kwa mda mrefu kuwauliza wale wanaoshinda eneo hilo hasa madereva tax wamesema hawajui ni la nani!Sasa ndugu wana jf kwa yeyote anaejua juu ya kaburi hili tena limejengwa kwa marumaru nyeupe anipe ufafanuzi!Je lina uhusiano wowote na ukombozi wa taifa hili?Je lina uhusiano wowote na jiji la dar?Je lina uhusiano wowote na ccm -majangili-mamafia-mumiani? Natumia simu ningeweza kupost na picha yake ila kama kuna mdau aliyejirani na eneo hilo anaeweza kupost picha naomba afanye hivyo!
 
Kitendawili hicho usijekuta ndani ya kaburi kuna madini ya thamani yaliyofichwa na kigogo ambaye labda alishafariki. Mjanja alifukue kwani hakunaga kaburi lisilokuwa na maelezo yoyote
 
Uislamu nijuavyo ulianzia kule Kilwa iweje huyu mtz azikwe pale? Je huko kilwa hakuna watz wa mwanzo kabisa walioamini uislamu? Kwanini waislamu hawamuenzi Imam wao wa mwanzo badala yake wanakaa kueneza udini kupitia kwa Alhaj JK mkweree?

Kumbe Yeriko huwapendi waislam.... kwa nafasi yako CDM am sorry umeikosea CDM kumbe yasemwayo n watu kuhus CDM ni kweli?? msemaji wa chama lazima uwe makini na unachosema publicly ......... now I know.. Thank you Yericko
 
Jamaa mjanja akazikwa mjinii hakutaka kujichanganya changanyikeni
 
Siku zote ulikuwa hulijui hilo?
Kumbe Yeriko huwapendi
waislam.... kwa nafasi yako CDM am sorry umeikosea CDM kumbe yasemwayo n
watu kuhus CDM ni kweli?? msemaji wa chama lazima uwe makini na
unachosema publicly ......... now I know.. Thank you Yericko
 
Back
Top Bottom