Sahihi kabisa mkuu. Asante sana. Sasa nahitaji kufahamu zaidi, mambo yapi nifanye na kipi cha kuepuka and destiny in general. Nimeku pm.Umezaliwa alhamisi(siku ya 5) we ni mini calendar, hekima na busara ndo haiba yako.
Knowledge ya calendar haina masharti ya kuepuka Ila inakusaidia kujijua naturally ili iwe rahisi kujiongoza kulingana na asili yako.Sahihi kabisa mkuu. Asante sana. Sasa nahitaji kufahamu zaidi, mambo yapi nifanye na kipi cha kuepuka and destiny in general. Nimeku pm.
Asante
Hapana zipo tofauti, hii ukiangalia birth calendar tu unasoma kila kitu kuhusu wewe, BT numerology hadi ucalculate namba au herufi ili upate kujua personality, destiny na nk..hii njia na numerology zinafanya kazi sawa ?
Asante sana mkuu kwa SoMo zuri.Knowledge ya calendar haina masharti ya kuepuka Ila inakusaidia kujijua naturally ili iwe rahisi kujiongoza kulingana na asili yako.
Mini calenda anarelate na watu wa magroup yote, ila kwa kua we we umezaliwa alhamisi siku changamfu ukiwa na mpenzi wa calendar yoyote ila kazaliwa siku Cheshi itapendeza maana we we umezaliwa siku Cheshi hivo una nature ya ucheshi,
Mini calendar ni wavumilivu by nature hivo ni ngumu kuwaona wanagombana ovyo na watu, wanaamini zaidi katika amani na upendo,
Kulingana na calendar yako siku zako nzuri zaidi ni siku cheshi(jumamosi, jumapili, jumanne na alhamisi.
By nature unafit zadi kwa kazi za uongozi.
Ni mfumo wa kutabiri au kubashiri mambo yaliojifichaHivi ramli ni nini hasa?
sahihi mkuu ni mkimya na mpole na huwa napenda sana kuwa peke ang.. Umetisha sana!We we ni right mkuu, umezaliwa jumanne(siku ya 3) ukimya na upole ndo haiba yako.