Ijue Botswana japo kidogo tu

Jamaa kazama kwenye kilugha hadi ameacha kujibu maswali, katuacha solemba.

Samahani mkubwa
 
Niko North Province, South Africa lkn misele kibao Botswana. Umbali ni kama kutoka Geita kwenda Mwanza mjini lisaa limoja na nusu kwa private car
North province inapakana na upande upi wa Botswana?
 
Inapakana na border ya Ramatlabama, mkoa wa kusini ya Botswana sehemu zaPitsane na Goodhope

Asante kaka, Nimefurahi kusikia hayo maeneo ya Ramatlabana, Pitsane nk, nadhani mji mkubwa hapo ni Lobatse,

Border zingine na south ni Tlokweng ambayo unaingilia Mafikeng (Gauten) kisha Kuna Zanzibar Border post ambayo inaingia Limpopo Province

Kaka nimekaa huko muda wa kutosha vichochoro vyote navijua
 
You dont need to be sorry man ..najua nyumbani ni nyumbani ni katika tu kunogesha mjadala
 
Nimekuwekea na vipicha mkuu si unajua wabongo
 
Mkuu uko wapi kwa sasa? Free state nina mwaliko vipi pako salama?
 
Mkuu uko wapi kwa sasa? Free state nina mwaliko vipi pako salama?

Free state ni jimbo la wazungu by then na mji wake mkuu ni Bloemfontein ni pazuri sana sana, na hakuna sana ujingaujinga kama wa Jos Au Pretoria wa kuchoma visu na bunduki japo matukio yapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…