Amanikwenu
Senior Member
- Dec 1, 2009
- 187
- 0
Inatia moyo sana kuona kuwa CHADEMA wamelipokea rasmi wazo la kuwa na redio na televisheni yao. Iwapo vyombo hivi vya habari vitaanzishwa, binafsi napendekeza viitwe CHADEMA Education Television/Radio. Wengi wetu tutakuwa tayari kuzichangia pamoja na kununua Hisa zake. Tunawatakia CHADEMA mafanikio makubwa katika mpango huu.