juniornduti
Member
- Aug 6, 2011
- 88
- 15
wakikosea wasije kulaumu!
Majibu haya yanapingana na ya Slaa alipojibu maswali hapa Jf j2 fulani zilizopita, kwani alikiri na kusema Igunga inahitaji mwana Igunga anayejua matatizo ya pale siyo kwa kuhadithiwa. sasa unapompeleka mtu mwa kisesa igunga hiyo ni dhahiri kuwa ni tamaa ya madaraka na sio uwakilishi, kwani unataka uniambie wilaya nzima hawana muwakilishi mpaka cdm mumpeleke mtu wa mbali? kwahilo mngekiri kuchemka. hapo upinzani itakuwa baina ya Amina said Fundikira na Lucas Mahona na hapo magamba watafanya kila mbinu Naye Mzee fundikira apate mlith serikalini
Dah!..Picha inaanza kuwa pana zaidi haya mambo madogo madogo muhimu yanaanza kujitokeza...na sidhani kama Chadema walikuwa na ofisi za chama jimboni hapa miaka ya nyuma. Pia yaonyesha Chadema hawakuwa na mgombea uchaguzi ulopita 2010..Sii mchezo mdogo.By Mr.Mak
Majibu haya yanapingana na ya Slaa alipojibu maswali hapa Jf j2 fulani zilizopita, kwani alikiri na kusema Igunga inahitaji mwana Igunga anayejua matatizo ya pale siyo kwa kuhadithiwa. sasa unapompeleka mtu mwa kisesa igunga hiyo ni dhahiri kuwa ni tamaa ya madaraka na sio uwakilishi, kwani unataka uniambie wilaya nzima hawana muwakilishi mpaka cdm mumpeleke mtu wa mbali? kwahilo mngekiri kuchemka. hapo upinzani itakuwa baina ya Amina said Fundikira na Lucas Mahona na hapo magamba watafanya kila mbinu Naye Mzee fundikira apate mlith serikalini
Chadema wana diwani tena mjini Igunga kwa hiyo ofisi ipo hiyo toa wasiwasi, kweli hawakuwa na mgombea ubunge Igunga lakini pamoja na hayo kura za urais jimbo hilo zinaonyesha chama kinakubalika hata bila kuwa na mgombea ubunge itakuwaje wakati huu wakati mgombea yupo.Dah!..Picha inaanza kuwa pana zaidi haya mambo madogo madogo muhimu yanaanza kujitokeza...na sidhani kama Chadema walikuwa na ofisi za chama jimboni hapa miaka ya nyuma. Pia yaonyesha Chadema hawakuwa na mgombea uchaguzi ulopita 2010..Sii mchezo mdogo.
Vizuri sana, nani mwenyekiti wa chama pale Igunga na Ofisi ziko wapi! - kuna mtu nataka muwasiliane naye...Chadema wana diwani tena mjini Igunga kwa hiyo ofisi ipo hiyo toa wasiwasi, kweli hawakuwa na mgombea ubunge Igunga lakini pamoja na hayo kura za urais jimbo hilo zinaonyesha chama kinakubalika hata bila kuwa na mgombea ubunge itakuwaje wakati huu wakati mgombea yupo.
Siku hizi huna kitu zaidi ya upenzi unatabiri ulisomea wapi ushehe yahya unataka kutuambia diwani alipatikana chini ya mti.Vizuri sana, nani mwenyekiti wa chama pale Igunga na Ofisi ziko wapi! - kuna mtu nataka muwasiliane naye...
Mpaka sasa chama cha mapinduzi kinaongoza kwa kuwa na wafuazi wengi wa
kukipigia kura. vyama vingine vinafuata kuwa na wafuasi wa vyama vingine
Je nje ya igunga Mtazamo wa wapiga kura ukoje?
Kama ungekuwa mwana Igunga kura yako ungempa nani?1. Leopold Mahona (CUF)
2.Joseph Kashindye (CHADEMA)
3. Peter Kafumu (CCM)
4. Said Makeni (DP)
5.Lazaro Ndageya (UMD)
6. John Maguma (SAU)
Huku wengu ni CDM.. Igunga Internet inapatikana kwa tabu sna na ni ni wachache wako aware.
Pumba boy..umekosa chakuandika?Wengu=Wengi
Pumba boy..umekosa chakuandika?
Huku wengi ni CDM.. Igunga Internet inapatikana kwa tabu sna na ni ni wachache wako aware.
Mpaka sasa chama cha mapinduzi kinaongoza kwa kuwa na wafuazi wengi wa
kukipigia kura. vyama vingine vinafuata kuwa na wafuasi wa vyama vingine
Je nje ya igunga Mtazamo wa wapiga kura ukoje?
Kama ungekuwa mwana Igunga kura yako ungempa nani?1. Leopold Mahona (CUF)
2.Joseph Kashindye (CHADEMA)
3. Peter Kafumu (CCM)
4. Said Makeni (DP)
5.Lazaro Ndageya (UMD)
6. John Maguma (SAU)