Mghothi wadala
Member
- Jul 21, 2018
- 90
- 64
Jamani Tutii sheria bilashuruti. Mimi sitojaribu kuandamana hata3kidogo
Wee jamaa sijui unakulaga utumbo wa fisi?
Huna akili kabisa.
Hivi hujui Kwamba kuandamana sio kosa kisheria?
Hatutajua chochote iwapo hatutahoji na kudadisi Kwakua hatuna fursa ya kuhoji wala kudadisi ndio maana tumekubali japo kishingo upande,vyote vyake mpaka mimi mwenyewe wake maana anaweza kuja askari kunikamata asiniambie hata dokezo la kukamatwa kwangu.Msaada tafadhali;
Hivi siku hizi fedha za maendeleo anatoa Rais Magufuli? Naona kila mahali imekuwa wimbo Rais ametupa fedha za majengo, Rais katupa fedha za barabara nk.
Hivi sio Bunge tena linalo allocate funds kuwa hizo ziende huku au kule baada ya kuidhinishwa?
Hivi hawa watendaji wataacha lini kuhadaa wananchi kuwa Magufuli ndiye mwenye pesa za nchi hii na sio zao?
Hivi ni kipimo cha juu sana cha upumbavu, kuwafanya wananchi wote wajinga!
Kwani wewe ukizira, lazima wote wazire? Subiri tatehe uone kama uchaguzi hautafnyika. Tutaambizana humu.Kwani kuna uchaguzi gani???
Huyo Sirro ndiyo maana maRPC wanasema hatoshi.
Andamana uone suruali yako itachanika palepale chezea IGPWee jamaa sijui unakulaga utumbo wa fisi?
Huna akili kabisa.
Hivi hujui Kwamba kuandamana sio kosa kisheria?
Hata Sudan walikuwa waoga kwa miaka 2Hapa nasubiria tu kuona actions kutoka kwa vijana wanaokesha jamii forum kila siku kuhubiri planB Kama democrasia ikishindikana.
Au ndo kufeli kwa Ukuta part2.. watanzania waoga Sana kwa biti Hilo siku hiyo hutaona hata kijana anakohoa..
Mbwa wewe mla vinyesi vya lumumbaWananchi tutii sheria tusitumike na Mabeberu kuharibu Amani ya Nchi yetu
Kuna siku watu watayapuuza yote haya; na badala yake suruale yake ndio italowa kama imemwagiwa maji."Niwasisitize tu, wakati wa uchaguzi mtu asithubutu kuandamana, nitakushughulikia pale pale, kama ni suruali yako itachanikia pale pale kabla hujafika mbali na kwenda kuleta madhara kwa watu wasio na hatia,- Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania (IGP), Simon Sirr
Uandamane kwenda wapi?Jamani Tutii sheria bilashuruti. Mimi sitojaribu kuandamana hata3kidogo
Manyani ya Lumumba yanaenda kuchaguanaKwani wewe ukizira, lazima wote wazire? Subiri tatehe uone kama uchaguzi hautafnyika. Tutaambizana humu.
Kama yana uwezo wa kutambua na yameijua CCM na yana sifa ya kupiga kura, kwangu poa tu.Manyani ya Lumumba yanaenda kuchaguanaView attachment 1263611
Uteuzi wa wanasiasa katika nafasi ya ukurungezi wa halmashauri, mkuu wa mkoa, mkuu wa wilaya, katibu tawala, Viti maalumu, mbunge, ubalozi wa nchi mbalimbali utasaidia kukutana na wanasiasa wenye jeuri ya FEDHA na Dharau ya maamuzi...Tanzania usipokuwa mwanachama wa CCM wewe ni 2nd class citizen.
Uteuzi wa wanasiasa katika nafasi ya ukurungezi wa halmashauri, mkuu wa mkoa, mkuu wa wilaya, katibu tawala, Viti maalumu, mbunge, ubalozi wa nchi mbalimbali utasaidia kukutana na wanasiasa wenye jeuri ya FEDHA na Dharau ya maamuzi...Si anajua sisi waoga tukipigwa mkwara tuna sinyaa.