Tumaini Makene
JF-Expert Member
- Jan 6, 2012
- 2,642
- 6,071
Du! Juzi tulipokutana pale msibani kumsindikiza mpiganaji Freddy Mtoi, nilitaka kukwambia kitu kimoja muhimu na kikubwa sana. Hatukupata nafasi bahati mbaya. Andiko lako hili la leo du! Siongezi sana.
Lakini kinachoendelea kunishangaza katika suala hili, specificallybla Mwangosi, hivi ni kwa nini mpaka leo wanahabari tumeshindwa ku pressurize vifaa vya kazi vipatikane. Alikufa akiwa na notebook, computer na CAMERA mikononi mwake. Hata kama kamera haikuwa ikichukua picha vizuri kutokana na purukushani, bado ilikuwa inachukua sauti. Nimeshajaribu kuzungumza sana hili lakini naona, nji...sijui ni sauti ya nyikani.
Lakini kinachoendelea kunishangaza katika suala hili, specificallybla Mwangosi, hivi ni kwa nini mpaka leo wanahabari tumeshindwa ku pressurize vifaa vya kazi vipatikane. Alikufa akiwa na notebook, computer na CAMERA mikononi mwake. Hata kama kamera haikuwa ikichukua picha vizuri kutokana na purukushani, bado ilikuwa inachukua sauti. Nimeshajaribu kuzungumza sana hili lakini naona, nji...sijui ni sauti ya nyikani.