Dingswayo
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 4,019
- 2,923
Hivi karibuni nimekuwa nikiona posts za baadhi ya watu hapa jamvini ambazo nia yao ni kuvuruga hoja na kuleta chuki. Nina imani kubwa kuwa wametumwa rasmi na wasiopenda maendeleo ya Watanzania ili kuchafua jamvi hili. Ushauri wangu ni kuwaweka katika 'ignore list' na hivyo hoja zao hazitaonekana kwako, na hapo watakuwa wameshindwa kutimiza malengo yao maovu.