Ifunda Tech yafungwa kwa muda usiojulikana

Ifunda Tech yafungwa kwa muda usiojulikana

Ukweli kuhusu kilichotoke Ifunda tech!!! Kwanza c uzembe Wa viongozi Wa wanafunzi !! Kwan wao ndio walikua wasuluhishi wakuu Wa tatizo hilo!! Baada ya kutokea tatizo la adhabu zilizopita kiasi na kutokusikilizwa kwa viongozi Wa wanafunzi !!! Wanafunzi waliamua kushinikiza vingozi wote kuvua tai za uongozi ili nao wawe kama wanafunzi wengine!!! Tatizo likaanzia hapo ; lakini viongozi wa shule walifanya juu chini kulisuluhisha kwan waliomba kikao na waalimu wanaohusika na ushauri(counceling)!!! Wakiwa na form6 kama wawakilishi wa wenzao na kweli walifikia muafaka wa matatizo ya wanafunzi lakini tatizo la viongoz liliwekwa kando(pending)!!! Lakini usiku Wa siku hiyo(j4-j5) watu wasiofahamika walikata fensi ya wavu ya Shule iliyokua inatumika kukamatia wachelewaji!! Hawakuishia halo tuu Bali waliiba kengele ya Shule na kuchoma kitalu cha miche!! Baada ya waalimu kuona tatizo limefikia hapo ndipo wakafungua macho na kuanza kutafuta suluhu!!! Wakaiita serikali ya iliyopinduliwa (wanafunzi) na kuwataka wakaongee na wanafunzi wenzao kwa kuwaahidi kuwatatilia kero zao zote( viongozi) ;viongozi Wanafunzi walifanya hivyo na wanafunzi wakakubali!! Na kuitikia wito Wa waalimu (j5 majira ya SAA 12:30 jioni) Lakini kwenye kikao hicho ilionyesha dhahiri kwamba wanafunzi hawakuridhishwa na majibu ya waalimu na walihisi wamekula njama na viongozi Wa wanafunzi, na kwakua Giza lilikua limeanza kuingia walianza kurusha mawe mabatini!!! Waalimu kuona hivyo walikimbia (magari) na kuicha Shule katika hali tete na zaidi ya hapo hawakufanya juhudi zozote za kulinda amani ( kuita jeshi la polisi) kwani polisi walifika baadae sana baada ya maafa makubwa kufanyika!!!! Ilihali jeshi hilo lipo karibu sana na Shule(250m) toka shuleni
 
Hakuna mjinga anayegoma bila 7bu, lazima kuna kitu hakiendi sawa pale. Hilo la maji litakuwa ni chambo tu. Wasiishie kuwafukuza ila wachunguze mzizi wa vurugu!
 
Ukweli kuhusu kilichotoke Ifunda tech!!! Kwanza c uzembe Wa viongozi Wa wanafunzi !! Kwan wao ndio walikua wasuluhishi wakuu Wa tatizo hilo!! Baada ya kutokea tatizo la adhabu zilizopita kiasi na kutokusikilizwa kwa viongozi Wa wanafunzi !!! Wanafunzi waliamua kushinikiza vingozi wote kuvua tai za uongozi ili nao wawe kama wanafunzi wengine!!! Tatizo likaanzia hapo ; lakini viongozi wa shule walifanya juu chini kulisuluhisha kwan waliomba kikao na waalimu wanaohusika na ushauri(counceling)!!! Wakiwa na form6 kama wawakilishi wa wenzao na kweli walifikia muafaka wa matatizo ya wanafunzi lakini tatizo la viongoz liliwekwa kando(pending)!!! Lakini usiku Wa siku hiyo(j4-j5) watu wasiofahamika walikata fensi ya wavu ya Shule iliyokua inatumika kukamatia wachelewaji!! Hawakuishia halo tuu Bali waliiba kengele ya Shule na kuchoma kitalu cha miche!! Baada ya waalimu kuona tatizo limefikia hapo ndipo wakafungua macho na kuanza kutafuta suluhu!!! Wakaiita serikali ya iliyopinduliwa (wanafunzi) na kuwataka wakaongee na wanafunzi wenzao kwa kuwaahidi kuwatatilia kero zao zote( viongozi) ;viongozi Wanafunzi walifanya hivyo na wanafunzi wakakubali!! Na kuitikia wito Wa waalimu (j5 majira ya SAA 12:30 jioni)

mkuu wewe ndo unajua ukwel hawa wengine ni mapovu tuu yanawasumbua
 
Daaa viboko vinaharibu mood sana, viboko vinavyopitiliza idad sio vizuri, kila siku ifunda tu ina niuma sana coz mwnyw nimemaliza mwaka huu pale[/QUOTE
hata mm nawadic sana maticha esp afisa elim na yule mwaipyana coz wanapenda cfa za kjnga
 
Shule imepoa baada ya Shulla kuondoka na baadhi ya walimu kama kachenche..

Hongereni sana aisee!!
Tosa ni chama langu, hilo tuliwahi kukinukisha 2007 acha kabisa aisee Bonge la Mgomo, ule tukapigwa sunspension hadi kikao cha Bodi, dah zamani sana
 
nlikua six,nlipoteza wanangu kibao sana kina max,gota etc!!!!!but walau kuna vitu fulani vilibadilika
 
Ukweli kuhusu kilichotoke Ifunda tech!!! Kwanza c uzembe Wa viongozi Wa wanafunzi !! Kwan wao ndio walikua wasuluhishi wakuu Wa tatizo hilo!! Baada ya kutokea tatizo la adhabu zilizopita kiasi na kutokusikilizwa kwa viongozi Wa wanafunzi !!! Wanafunzi waliamua kushinikiza vingozi wote kuvua tai za uongozi ili nao wawe kama wanafunzi wengine!!! Tatizo likaanzia hapo ; lakini viongozi wa shule walifanya juu chini kulisuluhisha kwan waliomba kikao na waalimu wanaohusika na ushauri(counceling)!!! Wakiwa na form6 kama wawakilishi wa wenzao na kweli walifikia muafaka wa matatizo ya wanafunzi lakini tatizo la viongoz liliwekwa kando(pending)!!! Lakini usiku Wa siku hiyo(j4-j5) watu wasiofahamika walikata fensi ya wavu ya Shule iliyokua inatumika kukamatia wachelewaji!! Hawakuishia halo tuu Bali waliiba kengele ya Shule na kuchoma kitalu cha miche!! Baada ya waalimu kuona tatizo limefikia hapo ndipo wakafungua macho na kuanza kutafuta suluhu!!! Wakaiita serikali ya iliyopinduliwa (wanafunzi) na kuwataka wakaongee na wanafunzi wenzao kwa kuwaahidi kuwatatilia kero zao zote( viongozi) ;viongozi Wanafunzi walifanya hivyo na wanafunzi wakakubali!! Na kuitikia wito Wa waalimu (j5 majira ya SAA 12:30 jioni) Lakini kwenye kikao hicho ilionyesha dhahiri kwamba wanafunzi hawakuridhishwa na majibu ya waalimu na walihisi wamekula njama na viongozi Wa wanafunzi, na kwakua Giza lilikua limeanza kuingia walianza kurusha mawe mabatini!!! Waalimu kuona hivyo walikimbia (magari) na kuicha Shule katika hali tete na zaidi ya hapo hawakufanya juhudi zozote za kulinda amani ( kuita jeshi la polisi) kwani polisi walifika baadae sana baada ya maafa makubwa kufanyika!!!! Ilihali jeshi hilo lipo karibu sana na Shule(250m) toka shuleni

Poleni sana wamekufa wangapi mkuu.!
 
Hii imetokea leo Shule ya Sekondari Ifuunda Tech iliyoko mkoani Iringa majira ya saa nane mchana baada ya wanafunzi kuvunja baadhi ya samani za shule ikiwemo vioo na kuiba kengele na kuificha kusikojulikana.

Chanzo cha fujo hizo inasemekana ni walimu kuwachapa viboko zaidi ya 15 kwa wanafunzi waliochelewa kufika parade. Inasemekana maji yalikatika hivyo wanafunzi kulazimika kufuata maji mbali kidogo na shuleni hivyo kuwafanya wachelewe parade.

Hiyo ndio sababu kuu iliyowafanya waibe kengele na kufanya uharibifu na uongozi wa shule kwa kushirikiana na afisa elimu kuifunga shule hiyo na wanafunzi walipewa nusu saa wawe wameondoka eneo la shule vinginevyo polisi waliokuwa wamesheheni silaha na gari za washawasha wangewashugulikia.

Tanzania inakwenda nyuma, mimi nakumbuka nilipigwa viboko wakati nasoma primary school sio secondary school. Hivi inakuwaje katika kizazi cha leo vijana wanacharazwa viboko secondary school? Hivi hii ndio normal sasa hivi kupigwa viboko kwenye shule za sekondari? kama ni hivyo basi tunakwenda kwenye dark ages.
 
Jamani hivi Ifunda Technical School kuna form six siku hizi??. Nimemaliza hapo form mwaka 1986. Ni kweli kulikuwa na changamoto za maji kwa kiasi fulani. Yakikatika tulikuwa tunaoga katika mto LYANDEMBELA.

1986 enzi za kina mwampaja, msigomba , mhappa.kipengele.mdalingwa.dudu aka ... hebu endelea naona wengi nimiwasahau
 
Ifunda the glorious technical school with long forever! with our motto skill and efficiency, we shall build our national strong and our school sunshine forever more oooooh godless our school x4 jamani kambi yangu ya 1990-1993 ndo inaangamia hivi wapi Mkwawa, wapi seuta, wapi zooo, wapi Mirambo wapi chabruma!!! you people!!!!!
 
Hawa watoto waliolelewa kwa chips mayai ni sheeeder kwelukweli.
 
Those who put obstacles to peaceful revolution paves a way to evil revolution.
 
Ifunda the glorious technical school with long forever! with our motto skill and efficiency, we shall build our national strong and our school sunshine forever more oooooh godless our school x4 jamani kambi yangu ya 1990-1993 ndo inaangamia hivi wapi Mkwawa, wapi seuta, wapi zooo, wapi Mirambo wapi chabruma!!! you people!!!!!
Dah [emoji22] nimekumbuka mbali sana mkuu. Naomba uishie hapo
 
Jamani hivi Ifunda Technical School kuna form six siku hizi??. Nimemaliza hapo form mwaka 1986. Ni kweli kulikuwa na changamoto za maji kwa kiasi fulani. Yakikatika tulikuwa tunaoga katika mto LYANDEMBELA.

Form five wa awamu ya kwanza walianza mwaka 2000. Sie tukiwa tunamaliza kidato Cha nne. The glorious, live long forever, with our motto , skills and efficiency...Oooh God bless our school.

Usionbe shule inafungwa unaimbwa huo wimbo haujapata nauli.
 
Ifunda the glorious technical school with long forever! with our motto skill and efficiency, we shall build our national strong and our school sunshine forever more oooooh godless our school x4 jamani kambi yangu ya 1990-1993 ndo inaangamia hivi wapi Mkwawa, wapi seuta, wapi zooo, wapi Mirambo wapi chabruma!!! you people!!!!!

Lyandembela, Kibaoni, Ihemi kote huko vijana walikua wanakatiza free style.

Nilikua najihifadhi Seuta block G.
 
Back
Top Bottom