ifm ni institute of finance management...na inatoa degree..watu hawaji IfM coz hawana ubavu wa ku-survive pale...elim ya pale ni ngumu hata maprofesa wanalijua hilo...pale huwezi survive kwa miaka 3 kama ni mbulula...na kama ukifanikiwa kumaliza afu huna kitu kichwan bas ujue utaishia kwenye GPA ya pass...huo ndo ukweli na ndo mana watu hawathubutu kuomba...watanzania wanapenda mteremko na ifm hamna mteremko