Nivea
JF-Expert Member
- May 21, 2012
- 7,459
- 4,748
hahahah kweli wewe ndio kichwa maji hivihao wanaosoma IFM hawapati kazi mtaani?na kama wanapata wanaowaajiri ni vilaza nao ?wacha ujinga kabisa nyinyi ndio mnaosema shule za akademia ni nzuri zaidi kiuhalisia ni kweli lakini je waliosoma hizo shule ZA KAYUMBA hawafanikiwi?jamaa kasema ukweli !! The best Tanzania univsty ni
1. UDSM
2. SUA
3. MZUMBE
4. UDOM
Wengne mtajipangia hzo namba zinazofuata huko nyuma !! Turudi kwenye mada yetu kwa kweli ifm ni moja wapo wa vyuo vya kata tena kwa vilazaaa kabisa nyie wanafunzi wa ifm mnajua kuvaa nguo chini ya makalio so mwisho wa siku ni bora hcho chuo kingekuwa cha fashion na usharobaro wa kipumbavu ila tukirudi katika suala zima la kitabu a.k.a Elimu pale ni empty set !!
hawa
1. UDSM
2. SUA
3. MZUMBE
4. UDOM
ALL IN ALL TUNATAKIWA TUPATE KILE TUNACHOKIITAJI KATIKA MAISHA ,HIKI NDIO MUHIMU ,KAMA WANAPATA HAO SIJUI IFM,DIT,TAALUMA INAYOWASAIDIA KUPATA KAZI NZURI NA KUWEZA KUJIAJIRI MI SINA TATIZO,