IFM: Mwalimu Elli Doriye anakera, anaharibu chuo

IFM: Mwalimu Elli Doriye anakera, anaharibu chuo

Dikteta Uchwara

JF-Expert Member
Joined
Aug 7, 2016
Posts
204
Reaction score
285
Wasalaam wakuu.

Mwalimu tajwa hapo amekuwa ni kero kubwa hapa chuoni. Amekuwa na tabia ya kufelisha wanafunzi kwa makusudi.

Kwa mfano, sisi ametufundisha Financial Markets mwaka huu, na kwa utaratibu wa chuo inabidi ujue coursework yako kabla ya kuingia kwenye UE.

La ajabu ni kuwa hakutoa matokeo, na chuo kimefunga ana upload marks darasa zima below 40 percent.

Hii haipo sawa na tunaomba uongozi wa chuo ufuatilie hili.
Wasalaam.
 
Wasalaam wakuu.
Mwalimu tajwa hapo amekuwa ni kero kubwa hapa chuoni. Amekuwa na tabia ya kufelisha wanafunzi kwa makusudi.
Kwa mfano, sisi ametufundisha Financial Markets mwaka huu, na kwa utaratibu wa chuo inabidi ujue coursework yako kabla ya kuingia kwenye UE.
La ajabu ni kuwa hakutoa matokeo, na chuo kimefunga ana upload marks darasa zima below 40 percent.
Hii haipo sawa na tunaomba uongozi wa chuo ufuatilie hili.
Wasalaam.
Ni kweli
 
Ardhi University pia waliwahi kulalamikia ugumu wa mitihani. Wakadai wanapewa mitihani migumu. Sasa werevu wengine wakauliza 'sasa nyie mnapenda mpewe mitihani rahisi'? Huo ndo ukawa mwisho wa mgomo.
 
Wasalaam wakuu.
Mwalimu tajwa hapo amekuwa ni kero kubwa hapa chuoni. Amekuwa na tabia ya kufelisha wanafunzi kwa makusudi.
Kwa mfano, sisi ametufundisha Financial Markets mwaka huu, na kwa utaratibu wa chuo inabidi ujue coursework yako kabla ya kuingia kwenye UE.
La ajabu ni kuwa hakutoa matokeo, na chuo kimefunga ana upload marks darasa zima below 40 percent.
Hii haipo sawa na tunaomba uongozi wa chuo ufuatilie hili.
Wasalaam.
sawa dikteta tumekusikia tutafanyia kazi
 
Wasalaam wakuu.
Mwalimu tajwa hapo amekuwa ni kero kubwa hapa chuoni. Amekuwa na tabia ya kufelisha wanafunzi kwa makusudi.
Kwa mfano, sisi ametufundisha Financial Markets mwaka huu, na kwa utaratibu wa chuo inabidi ujue coursework yako kabla ya kuingia kwenye UE.
La ajabu ni kuwa hakutoa matokeo, na chuo kimefunga ana upload marks darasa zima below 40 percent.
Hii haipo sawa na tunaomba uongozi wa chuo ufuatilie hili.
Wasalaam.
Nimependa jina lako ila ongea na viongozi wa darasa iyo issue ndogo sana uyo mwalimu inakula kwake
 
Mimi pia nilisoma hapo. Kiukweli huyo dokta hafai. Issue sio ugumu wa mtihani bali ni kufelisha kwa makusudi wanafunzi na baadae kudai rushwa ya ngono kwa wadada.
Rushwa?
Hivi inakuwaje akina dada watano hivi aliowaomba uchi wakaenda muda mmoja ofisini kumkumbusha miadi? Haitoshi kukomesha hiyo skendo yake...
 
Ndalichako tumbua huku, wanakiuka mfumo wa elimu ya juu
 
Wasalaam wakuu.
Mwalimu tajwa hapo amekuwa ni kero sana hapa chuoni. Amekuwa na tabia ya kufelisha wanafunzi kwa makusudi.
Kwa mfano, sisi ametufundisha Financial Markets mwaka huu, na kwa utaratibu wa chuo inabidi ujue coursework yako kabla ya kuingia kwenye UE.
La ajabu ni kuwa hakutoa matokeo, na chuo kimefunga ana upload marks darasa zima below 40 percent.
Hii haipo sawa na tunaomba uongozi wa chuo ufuatilie hili.
Wasalaam.
Busara kubwa sana ingekuwa ni kulifikisha swala hili mahali husika ndio maana kuna serikali ya wanachuo na pia kuna uongozi wa chuo na pia kuna principal, lakin kwa hiki ulicho kifanya hapa kinaweza kuchukuliwa tofauti na matarajio yako.
 
Mimi pia nilisoma hapo. Kiukweli huyo dokta hafai. Issue sio ugumu wa mtihani bali ni kufelisha kwa makusudi wanafunzi na baadae kudai rushwa ya ngono kwa wadada.
Shwaini
Na ww uliombwa rushwa ya ngono [emoji12] [emoji12] [emoji12]
 
Nilidhani una hoja kumbe PUMBA!!! Mwl afelishe darasa zima ili iweje? Tena ninyi wa awamu ya JK hata chuo kikiwaondoa wote sioni shida akili hamna vichwani, Library hamuenda ila kufaulu mnataka.
Ww unadhani tafti ya 61% Vil,aza imekujaje Tz kama siyo akina ww?
Kutongoza mademu, kupiga selfie na kuchat ndio Syllabus alizo wapa Shukuru Kawambwa!!
 
Nilidhani una hoja kumbe PUMBA!!! Mwl afelishe darasa zima ili iweje? Tena ninyi wa awamu ya JK hata chuo kikiwaondoa wote sioni shida akili hamna vichwani, Library hamuenda ila kufaulu mnataka.
Ww unadhani tafti ya 61% Vil,aza imekujaje Tz kama siyo akina ww?
Kutongoza mademu, kupiga selfie na kuchat ndio Syllabus alizo wapa Shukuru Kawambwa!!
Mkuu, nimeandika jambo lililo tokea. Kama kuna wahitimu wa mwaka huu humu watathibitisha haya.
Ndio, mimi ni kilaz.a ila hata wenye iq zao wamewekewa namba za viatu.
 
Wasalaam wakuu.
Mwalimu tajwa hapo amekuwa ni kero kubwa hapa chuoni. Amekuwa na tabia ya kufelisha wanafunzi kwa makusudi.
Kwa mfano, sisi ametufundisha Financial Markets mwaka huu, na kwa utaratibu wa chuo inabidi ujue coursework yako kabla ya kuingia kwenye UE.
La ajabu ni kuwa hakutoa matokeo, na chuo kimefunga ana upload marks darasa zima below 40 percent.
Hii haipo sawa na tunaomba uongozi wa chuo ufuatilie hili.
Wasalaam.
Baada ya kulitambua hilo,hatua yako ya kwanza kuchukua ni kutoa duku duku lako humu Jamii Forum au umeuona kwnza uongoz wako wa chuo?
Kama umeamua kulalamika tu humu pole yako ,endelea kuishi huku ukiwa umepiga magoti maana umekataa kufa hali ukiwa umesimama...
 
Back
Top Bottom