Captain mopao
Senior Member
- Feb 25, 2021
- 133
- 379
Kuna jambo Africa hua tunazingua kbsaa. Africa tunapenda kuonewa huruma kulalamika sana na ku pretend kua sisi ni wema kuliko mataifa mengine
Siku hizi kuna wimbo wa ukoloni pamoja na mabeberu baadhi ya watu hutumia picha enzi za biashara ya utumwa ili kujenga chuki
Wengi huona km mataifa ya barani ulaya ni wabaguzi sana na tumewapa sifa kua ni wabaguz wa rangi. Jambo moja Africa tunapaswa kufaham kua biashara ya utumwa ilikuwepo dunia nzima si kwetu hata wzungu wenyewe walikua watumwa kwa mataifa mengine
Kusambaza picha za enzi za utumwa ni kujenga taswira mbaya kwa watoto wetu nankuwapandikiza chuki. Sikatai wapo wazungu waarab na wachina wabaguzi lakini pia waafrica wabaguz wapo sie hatujakamilika
Kuna siku nilikua napiga story na mkolea mmoja ananiambia anawachukia sana wajapan. Anasema japan waliitawala Korea na kuwatesa sana wakorea, pia waliwabaka walifanya unyama mkubwa kipindi cha ukoloni
Baada ya kupata uhuru korea iliwaomba japan kuwalipa fidia kutokana na mambo waliyofanyiwa. Japan ilikataa kulipa ile fidia, korea wakaamua kutengeneza sanam inayoelezea utumwa
Wakazisambaza nchi za magharib, ingawa ilikua ni fedheha haikusaidia kitu. So unaweza kuona wao utumwa ulikua miaka mingi ila wamewarithisha chuki kizazi mpka kizaz na hakuna faida kua maadui
Hii taswira nayo naiona africa tuna ona sisi tuna ona tumeonewa sana na waingereza na kujenga chuki kwa wazungu jambo ambalo si la faida kwetu
Nawasilisha, karibuni wakereketwa wa utumwa kwa maoni ushauri povu
Siku hizi kuna wimbo wa ukoloni pamoja na mabeberu baadhi ya watu hutumia picha enzi za biashara ya utumwa ili kujenga chuki
Wengi huona km mataifa ya barani ulaya ni wabaguzi sana na tumewapa sifa kua ni wabaguz wa rangi. Jambo moja Africa tunapaswa kufaham kua biashara ya utumwa ilikuwepo dunia nzima si kwetu hata wzungu wenyewe walikua watumwa kwa mataifa mengine
Kusambaza picha za enzi za utumwa ni kujenga taswira mbaya kwa watoto wetu nankuwapandikiza chuki. Sikatai wapo wazungu waarab na wachina wabaguzi lakini pia waafrica wabaguz wapo sie hatujakamilika
Kuna siku nilikua napiga story na mkolea mmoja ananiambia anawachukia sana wajapan. Anasema japan waliitawala Korea na kuwatesa sana wakorea, pia waliwabaka walifanya unyama mkubwa kipindi cha ukoloni
Baada ya kupata uhuru korea iliwaomba japan kuwalipa fidia kutokana na mambo waliyofanyiwa. Japan ilikataa kulipa ile fidia, korea wakaamua kutengeneza sanam inayoelezea utumwa
Wakazisambaza nchi za magharib, ingawa ilikua ni fedheha haikusaidia kitu. So unaweza kuona wao utumwa ulikua miaka mingi ila wamewarithisha chuki kizazi mpka kizaz na hakuna faida kua maadui
Hii taswira nayo naiona africa tuna ona sisi tuna ona tumeonewa sana na waingereza na kujenga chuki kwa wazungu jambo ambalo si la faida kwetu
Nawasilisha, karibuni wakereketwa wa utumwa kwa maoni ushauri povu