LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 19,349
- 36,300
Ni binti mtoto wa Single Mother masikini mama ntilie. Kasoma kayumba kuanzia primary hadi Six..Kaenda UDSM kapiga first class kapata full scholarship ya Masters in a prestigious University in the USA.
Watoto wa kike kama mnavyo wajua tena, alipo fika US akawa anapiga Sana picha yupo Marekani.
Of course a person has a right to show off his or her achievements. It is a natural and biological trait.
Kuna muda walienda vacation Ulaya akawa anapiga picha ana post.
Fast forward, amerudi bongo sasa amekufa kwenye mazingira ya kutatanisha inasemekana amewekewa sumu.
Hapa now nipo " Bar" kwenye msba. Bar iliyopo karibu na " The funeral home of the deceased person".
Saa saba maziko.
Waliomlisha sumu binti wa watu ni watu wenye akili ndogo Sana.
Wanadhani mtu kwenda Marekani ni kufanikiwa.
Wanatishwa na hayo mafanikio ya mtu huyo kuwa Marekani.
Muda sasa ufike, wa Tanzania waelemishwe kwamba mtu kuwa Marekani sio ndio kwamba amefanikiwa kwenye maisha.
Kuna wa Tanzania wanaishi Marekani maisha magumu kuliko wewe unae ishi Tanzania...
Rest In Piece
Watoto wa kike kama mnavyo wajua tena, alipo fika US akawa anapiga Sana picha yupo Marekani.
Of course a person has a right to show off his or her achievements. It is a natural and biological trait.
Kuna muda walienda vacation Ulaya akawa anapiga picha ana post.
Fast forward, amerudi bongo sasa amekufa kwenye mazingira ya kutatanisha inasemekana amewekewa sumu.
Hapa now nipo " Bar" kwenye msba. Bar iliyopo karibu na " The funeral home of the deceased person".
Saa saba maziko.
Waliomlisha sumu binti wa watu ni watu wenye akili ndogo Sana.
Wanadhani mtu kwenda Marekani ni kufanikiwa.
Wanatishwa na hayo mafanikio ya mtu huyo kuwa Marekani.
Muda sasa ufike, wa Tanzania waelemishwe kwamba mtu kuwa Marekani sio ndio kwamba amefanikiwa kwenye maisha.
Kuna wa Tanzania wanaishi Marekani maisha magumu kuliko wewe unae ishi Tanzania...
Rest In Piece