Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,595
- 215,272
Nimesoma katika health journal moja linasema mihogo na kisamvu ni vyakula hatari kuhifadhiwa ndani ya nyumba hasa jikoni. Vyakula hivi vina sumu aina ya cyanide ambayo humuua binadamu haraka sana. Moja ya dalili za sumu hii kwa mwanadamu ni kizungu zungu, kuuumwa kichwa, kuharisha na kutapika.
Kupika chakula mpaka kiive kabisha ndiyo njia ya kupunguza au kuondoa ukali wa sumu hii.
Tafakari yangu ninauona ukubwa wa Mwenyezi Mungu. Tulipokuwa wadogo mihogo tulimenya makopa na kuyaanika, bila kunawa mikono vizuri unachukua embe au fenesi unakula.
Mungu pia ni mwema, fikiria tungekua na uwelewa wa kuitumia sumu hii kwa maadui zetu, nyumba nyingi zingekua na wajane. Fikiria mume wako au mke wako ame cheat na unachemka kwa hasira, mbona cyanide ingemhusu.
Kupika chakula mpaka kiive kabisha ndiyo njia ya kupunguza au kuondoa ukali wa sumu hii.
Tafakari yangu ninauona ukubwa wa Mwenyezi Mungu. Tulipokuwa wadogo mihogo tulimenya makopa na kuyaanika, bila kunawa mikono vizuri unachukua embe au fenesi unakula.
Mungu pia ni mwema, fikiria tungekua na uwelewa wa kuitumia sumu hii kwa maadui zetu, nyumba nyingi zingekua na wajane. Fikiria mume wako au mke wako ame cheat na unachemka kwa hasira, mbona cyanide ingemhusu.