FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,506
- 123,777
Hujasoma
Mbaroni kwa kumnajisi mtoto msikitini Liwale
Shatani hana dini, turudi kwenye Mada. Shule hiyo iko vizuri sana
Naam, kwenye msafara wa mamba kenge hakosekani. Huo ndiyo ukweli.
Ukitaka ukweli fanya comparison, utaona kuwa ni ajabu kubwa ikitokea mambo kama hayo msikitini.
Lakini on the other hand, utaona ni ajabu kubwa sana kama mambo kama hayo hayajatokea kanisani. Tena si Tanzania tu, ni uozo uliopo makanisa ya dunia nzima, jisomee:
Catholic Church sexual abuse cases - Wikipedia, the free encyclopedia