Ilishika namba ngp kitaifa!?
Huyu bwege mwingine mwenye chuki na uislam hujamuona? Au kwa sababu yeye ni mwenzetu?FF una chuki saaaaaaaaaaaaaaaaaana na Ukristo, unaonaje ukahamia Iran?
Bavaria Maua Semiri haipo Marangu ipo Kilema. Sijui kama kuna wadau wamekusahihisha ila kusema ipo Marangu sio sawa ukweli ipo Kilema pamoja na St. James Seminary. Vinginevyo hongera kwa kuonyesha kijijini kwetu kulivyo kutamu.Maua Seminary ipo Marangu mkoani Kilimanjaro
View attachment 371250
View attachment 371251 View attachment 371252
View attachment 371253
View attachment 371254
View attachment 371255
View attachment 371256
View attachment 371257 View attachment 371257
Shikamoo bibiLooks like Lushoto.
Bavaria Maua Semiri haipo Marangu ipo Kilema. Sijui kama kuna wadau wamekusahihisha ila kusema ipo Marangu sio sawa ukweli ipo Kilema pamoja na St. James Seminary. Vinginevyo hongera kwa kuonyesha kijijini kwetu kulivyo kutamu.
panaitwa kisangiro kiongoziIpo kijiji cha Maua mkuu. Kilema ni kata nadhani.
THUBUUUUTU!Msalato girls secondary school
Mwenye picha Al-Haramain Seminary atuwekee pia tulinganisheShule.