- Thread starter
- #21
Daa mkuu mimi nilikuwa nafanya hobi tu,blog zenyewe nimezitelekeza sababu ya majukumu yangu mengine kunibana,wala sina connection na yeyote.Labda nikuachie blog moja ambayo haina post nyingi,lakini utakuwa na kazi ya kuvuta audience maana haina content na haijapostiwa kitamboNiunganishe na yoyote tu napenda kuandika andika