“If Only I could have this KISS Forever…..” TGIF!!!

“If Only I could have this KISS Forever…..” TGIF!!!

ndetichia, namaanisha ukipata ile kiss yenyewe ile, unajiskia kama umeota mabawa and u start flying. hujaona The finest anasema hapo magoti ndembendembele@
Hahaha!!! Ukipima heartbeats za mtu wakati huo unaweza kufikiri mtu ana ugonjwa wa moyo
 
Power of kiss
AshaDii asante sana
Imenikumbusha na inaendelea kunikumbusha mengi. Na always huwa ni great moment sana when you do this to one you love most
 
Oh! I am touched Rejao... Pole kwa the MISSING part.... Kuna "blow up Kiss"
na "smaking sounded kiss" waweza send.. alafu pia kuna Kiss ya kutumia
mitandao... You tell her properly how you imagine kissing her... Hio kiss
ukiifanya properly itafika worry not!!

Hivi Asha D, sorry......................

sie wengine ambao pasion yetu imejaa zaidi tunapokiss kwenye biolojia za wengine inakuwaje.................

Au hatuusiki katika mjadala huu?
 
Afu shem, mbona mie kamatesha kangu kakinibusu shavuni huwa nasisimka sana? kuna uchawi kwenye hizi kisses?


Matesha is a beauty and a darling.... naona kusisimka kunachanganyikana na mambo mengi yalogubikwa na Penzi la baba kwa mtotoe hasa wa kike...
 
Sinziga nimependa saana what you have wrote.... naona kidogo sijakupata which KISS especially umelenga... for from what I know ni kua kama the Kiss in question ni ile ya Maeneo ya uficho hiyo yawezekana kabisa... Mie nazungumzia kuweza Kiss mpaka mwafika kileleni bila kugusa eneo husika (na kiss nyingine tu ambazo hukufanya hu-feel the intensive emotions)... Kama wapenzi m-ki kiss bila kugusa kabisa eneo husika na mkafika kileleni it means you have intensive feelings for each other.... But aside from all that...

Take note nimesema kua kuna exceptions... for a guy kufika kileleni hata kama hayupo in love ni rahisi (check hapo kwenye Kissing and it's applicability) for nimetaja kua kwa kaka/baba zetu wao ni rahisi waweza fanya hivo hata via Lust....

Alafu ongeza bana... kwanini uishie hapo?? lol

Majuzi hapahapa MMU nilisoma article moja ya inayoonyesha research jinsi wanawake wanavyopunguza sana nguvu za kiume kwa wanaume. Ndani ya ile article ilisemwa kauli za wadada baada ya tendo, kwamba labda hajaridhika, au kwanini siku hizi hunifikishi tofauti na zamani etc, saikoloji inaharibu mentality ya mwanaume. Hii sredi ilienda mbali zaidi iliposema maujanja/ubunifu wa mwanamke ukiwa zero...just kusubiri mwanaume asimike kwa nguvu zake mwenyewe inachangia sana!!

Back to topic...Is it true that power of kiss can stimulate intensively emotions za mtu?? Especially in Private space?? Without any kind of touching sensitive part?? kwa maisha haya ya stress??

AshaDii ujue huku bongo sasa hivi kila kona utakuta mabango.."Daktari bingwa toka Sumbawanga/kaswenswe wa nguvu za kiume". Sasa kwa mazingira haya how can kiss only stimulate emotions, anyway may be am wrong, ngoja kwanza nipate mawazo yako hapa.
 
Power of kiss
AshaDii asante sana
Imenikumbusha na inaendelea kunikumbusha mengi. Na always huwa ni great moment sana when you do this to one you love most


Rocky Please share.... lol... Na ukilega there is Pa around ambae anajua toa all the details from you....
 
duhhh
mi napenda kiss ya kipande hii
(smooth, tender, sweet, warm, Gentle, soft,) etc..
mmmhh

Anyway sante ADI kama kawa ...
Very nice thread ... 🙂



Thanks dear.... Hizo kiss ulotaja hapo.. are some of the Kisses i am talking about
maana yangu ni kua the Lovers in question if in love do not need to go extreme...
 
Hivi Asha D, sorry......................

sie wengine ambao pasion yetu imejaa zaidi tunapokiss kwenye biolojia za wengine inakuwaje.................

Au hatuusiki katika mjadala huu?


Yeyete yule ambae anahusika katika tendo la 6/6
anahusika moja kwa moja na huu mjadala... Hivo
Bacha please ni dadafulie hapo tuone...
 
Hivi Asha D, sorry......................

sie wengine ambao pasion yetu imejaa zaidi tunapokiss kwenye biolojia za wengine inakuwaje.................

Au hatuusiki katika mjadala huu?
OMG! Hii sredi muda si mrefu itahamishiwa jukwaa la Maria Roza lol. Hiyo kiss bana, we iache tu manake inapagawisha na inahitaji ujasiri......Hii ya watani zetu Mungu aliamua kuiumba kwa makusudi. Ina sura mbayaaaa lakini hapohapo tunakomaa! Sura mbaya, utamu mtamu! (Shem ADI kuna mtu kaniibia pasiwedi yangu, usimwambie soulmate wangu)

Matesha is a beauty and a darling.... naona kusisimka kunachanganyikana na mambo mengi yalogubikwa na Penzi la baba kwa mtotoe hasa wa kike...
Naona hilo linahitaji thread inayojitegemea. Ngoja ntaifanyia utafiti then ntawaletea matokeo yake nipate kauzoefu zaidi toka kwenu lol
 
Majuzi hapahapa MMU nilisoma article moja ya inayoonyesha research jinsi wanawake wanavyopunguza sana nguvu za kiume kwa wanaume. Ndani ya ile article ilisemwa kauli za wadada baada ya tendo, kwamba labda hajaridhika, au kwanini siku hizi hunifikishi tofauti na zamani etc, saikoloji inaharibu mentality ya mwanaume. Hii sredi ilienda mbali zaidi iliposema maujanja/ubunifu wa mwanamke ukiwa zero...just kusubiri mwanaume asimike kwa nguvu zake mwenyewe inachangia sana!!

Back to topic...Is it true that power of kiss can stimulate intensively emotions za mtu?? Especially in Private space?? Without any kind of touching sensitive part?? kwa maisha haya ya stress??

AshaDii ujue huku bongo sasa hivi kila kona utakuta mabango.."Daktari bingwa toka Sumbawanga/kaswenswe wa nguvu za kiume". Sasa kwa mazingira haya how can kiss only stimulate emotions, anyway may be am wrong, ngoja kwanza nipate mawazo yako hapa.



Hayo maelezo in Purple.. nakubaliana nayo asilimia 100!!


Hapo In bolded that is what I am talking about katika hii thread… The answer is YES to all… Ila hilo Swali la mwisho ndio hiyo ambayo tunaongea siku zoote kua kwa Wapenzi wa mda mrefu hasa wanandoa ni kazi saana kumaintain the Vibe tokana na ukweli kua kuna so much Pressure and responsibility… the only intimacy which is reliable is SEX …. Ambayo pia hutegemea na couple yenyewe pia…

Alafu your last paragraph… huwezi tegemea uende kwa mganga akuelekeze jinsi ya kumpata Mpenzi kwa dawa (ambae mara nyingi huwa zuzu) na ukategemea fulfilling results katika Mapenzi in any angle… Sidhani… And of course you may be right or wrong but what matters is that at least you have interest.. hivo hatimae ukweli utapatikana….
 
OMG! Hii sredi muda si mrefu itahamishiwa jukwaa la Maria Roza lol. Hiyo kiss bana, we iache tu manake inapagawisha na inahitaji ujasiri......Hii ya watani zetu Mungu aliamua kuiumba kwa makusudi. Ina sura mbayaaaa lakini hapohapo tunakomaa! Sura mbaya, utamu mtamu! (Shem ADI kuna mtu kaniibia pasiwedi yangu, usimwambie soulmate wangu)

Naona hilo linahitaji thread inayojitegemea. Ngoja ntaifanyia utafiti then ntawaletea matokeo yake nipate kauzoefu zaidi toka kwenu lol


Shem taratibu.... hapa utamfanya Mod aone palipo jificha...lol... Kule kwa wakubwa wataweka Graphics amazo sometimes it is so hard to watch!
Alafu you do know the fact kua i remember everything eeeh?? Hio ya Matesha nitakung'ang'ania kama Ruba hadi ulete matokeo....lol
 
Shem taratibu.... hapa utamfanya Mod aone palipo jificha...lol... Kule kwa wakubwa wataweka Graphics amazo sometimes it is so hard to watch!
Alafu you do know the fact kua i remember everything eeeh?? Hio ya Matesha nitakung'ang'ania kama Ruba hadi ulete matokeo....lol
Sikumbuki kama nlishawahi kukuangusha......
 
NO! Not yet anyway....lol.. Ulisema unaenda kwa mama Matesha.... hio feedbak vipi??
Nimenasa kwenye jam hapa Magomeni Mapipa. Ngoja nimtwangie bana...... na akisema am a good kisser, she will be kissed mpaka akome!
 
[h=1]Week end njema


[/h]
kissing-couple.gif
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom