If Chadema change position it mustt apologize, unconditionally!


Mtaalam wao wa sheria bw. Tundu Lissu hajaeleza ni sheria gani? Si tunaambiwa huyu bwana ni mahiri sana au....
 

Hii inawezekana kweli? Chadema kuiomba Mahakama izuie kutangazwa matokeo kwa vile wanaamini watadhulumiwa!

Amandla.....
 


Mtu anaposhitaki kuwa jamaa ametembea na mke wake. Mahakama inaweza kutupilia mbali kesi. Lakini anaposhitakiwa kuwa kitendo hicho kimemletea emotion distress, mahakama inaweza kusikiliza.

Hivyo kesi moja inaweza kuwa framed kwa namna nyingi ili kuleta ushindi. Tatizo ninaloliona mimi hapa ni kuwa CHADEMA wameshindwa ku-frame kesi yao.

Kumbuka hata AL Gore hakupinga kuwa Bush hakuchaguliwa kihalali. Alichopinga yeye ni jinsi kura zilizo na utata zilivyohesabiwa.
 

Ina maana hawa chochote atakachoandika Mwanakijiji wao ni kuunga mkono na kumwaga Thanks! Jamani wakati mwingine huyu jamaa humwaga upupu vile vile. Nahamasika Kikwete alikuwa sahihi 70 % Hufata mkumbo.
 
Ina maana hawa chochote atakachoandika Mwanakijiji wao ni kuunga mkono na kumwaga Thanks! Jamani wakati mwingine huyu jamaa humwaga upupu vile vile. Nahamasika Kikwete alikuwa sahihi 70 % Hufata mkumbo.
kwani mtu akiongea pumba/upupu huruhusiwi kumgongea thanks? kwenye sheria za JF si jui kama ipo.
 
kwani mtu akiongea pumba/upupu huruhusiwi kumgongea thanks? kwenye sheria za JF si jui kama ipo.

Kwa tafsiri zangu Thanks ni kukubaliana na hoja! Ila unaweza pongeza pumba ya mchangiaji.....sijui aisee
 
In fact Mwanakijiji is blinking green and yelow right now! Ndio bongo....tumbo kwanza!

Karibu ufisadini Mwanakijiji a.k.a kanjanja
 
Napata shida sana kwa kuona watu wanakaa kubishana hapa na Zemacopolo, waberoya, Kiranga na Omarlyas.
Hawa watu tangu kampeni za uchaguzi zimeanza hakuna hata mahali walipowahi kuisifia Chadema kwa lolote kama mimi ambavyo sijaisifia ccm.
Jamani hamuwezi kujua mnabishana na watu wa kambi gani? Hamna kazi zingine zaidi au hakuna thread nyingine za maana zaidi ya hii ambayo mnabishana na watu ambao unaona hawawezi kuwaelewa? Simply give up na waachieni thread na wapeni ushindi maana hata hivyo si ni ccm ndio washindi?.
 
Mwanakijiji is right, mtanganyika made it more clear
 
Ninachokiona huyu mmkj amefanya kazi kubwa kutafuta umaarufu na kuamniwa hapa JF akiwa na nia na malengo yake ambayo sasa anaanza kuyaweka hadharani kwani kitambo sasa Post zake zimekuwa zikitoka kule alikokuwa anapenda kuonyesha ndo mahali pa kushikiria.

Nachelea kusema MMKJJ=MS

:embarrassed:
 
naona karekebisha topic yake kuanzia kichwa hadi habari
 
Mwanakijiji, CHADEMA has not changed it's stance on their recognition of Kikwete's presidency, you better than many know that CHADEMA had made it quite clear that it's not about the man in power but it's about how he came to power that they're strongly against. If i may reuse this fair example of a child born of rape. She can hate the father for the cruel humiliating act to the mother(the election fraud, rape of democracy) but she can't say he's not her father cos there's no way of changing that(just like the constitution won't allow to annul a presidency after a winner is declared by NEC).

You so well know that the walkout on Kikwete's speech was not to disregard him as president but to push for reforms to the aristocratic, bureaucratic, outdated & democracy unfriendly system (constitution & the electoral body) that put him in power and that has not changed. What then should CHADEMA apologise for???

If you are the same famous Mwanakijiji who supposedly writes for MwanaHalisi (i'm trying not to make assumptions), are you not the one who on the 15 Dec 2010 edition saluted Dr.Slaa's "wisdom that goes beyond the crown" (hekima imepita kiti cha enzi) for what you called his ungreedy and patriotic tendencies that made him not put his ambition to be president before the peace and stability of his people? You said and i quote(in a loose translation) "Dr.Slaa had all right in the world not to recognize the results and instigating an anti-Kikwete riot that would have likely been supported by the wananchi, which he didn't because of his wise counsel!"

Why do i have a feeling that you are being inconsistent and misleading MM?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…