Duduvwili
JF-Expert Member
- Jan 31, 2015
- 3,884
- 3,807
Mkuu kwa ambao hatukuona hebu elezea kidogo Koti-kanzu ndio vazi gani?Wameona wakisema alicheka Koti-Kanzu la Malaika Mkuu watajivua nguo!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kwa ambao hatukuona hebu elezea kidogo Koti-kanzu ndio vazi gani?Wameona wakisema alicheka Koti-Kanzu la Malaika Mkuu watajivua nguo!
Sent using Jamii Forums mobile app
Umejuaje?Alicheka picha ya mfalme
Kwa vile wewe ni Mrs Van sishangai lakini mimi binafsi naungana na wadanganyika wengi ambao bwana yule hatuchekeshi lolote tunao comedians kama kina Joti et alKwani alipost kwa nia ya kukuchekesha au kajipostia zake tu.
Mimi nampenda sana Idris ana akili sana na hua ananichekesha na kunifunza mambo kutoka kwenye post zake
Mbona wewe unashinda jfAfungwe haraka tumechoka kuona vijana badala ya kulima wanashinda Twitter
Kwa hiyo wazee ndio washinde Twitter? Wewe hapa unalima?Afungwe haraka tumechoka kuona vijana badala ya kulima wanashinda Twitter
Kumbe na wewe unapenda kuzichekea picha za watu...!Adhabu kutokana na kifungu gani Cha Sheria ?
Wewe unalima hapa?Afungwe haraka tumechoka kuona vijana badala ya kulima wanashinda Twitter
Ule ulikuwa mtindo wa zama zile, tatizo mmezaliwa juzi juzi hapa.Kweli ile suti ova size,nakazia ile suti ni single piece in tanzania fundi alieshona alikua kipofu
ubwa sana hawa watu sijui wa koromije? Wanaboaga kichizHalari =halali ....kuandika kwenyewe Huwezi . ..sasa mambo ya Idriss utayafahamu vipi.
Kimsingi ile picha wanae na wajukuuu wanaicheka. Na wala sio ajabu wengi wetu hua tukiona picha za zamani za wazazi wetu hua tuna cheka.Magufuli anajikuta immortal ahahahaha!
Na ninavyojua kucheka watu ingekuwa mimi nacheka hadi naanguka chini
Nadhani ushauri wako umepuuzwaa, hata wao wameona aibu kufungua mashitaka ya kijinga kiasi hicho ulicho fikiria.Sultani Alifanya Dhihaka.
Kwanza tambueni Raisi JP Magufuli, ni Raisi halari wa Jamhuri ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.
Hivyo anastahili kuheshimiwa na kila raia wa nchi hii, bila kujali ulimpigia kura au la.
Idrisa kama Msanii anayetazamwa na watu wengi Aliidhihaki Picha ya Raisi na Watanzania wengi waliiona video clip yake.
Je, kama msanii ile video ililenga kufanya nini ktk jamii yetu.
Idrisa anastahili adhabu kali ili iwe fundisho kwake na kwa wengine.
Nawasilisha.
Sent using Jamii Forums mobile app
mwanzo kucheka picha,View attachment 1461124
Mchekeshaji huyu alikuwa akishikiliwa katika Kituo cha Polisi Oysterbay kwa takriban siku 8 akifanyiwa mahojiano.
Haijajulikana ni mashtaka gani atasomewa lakini kwa wa mujibu wa Polisi, walikuwa wakimuhoji kwa tuhuma za kujaribu kuharibu ushahidi na makosa mengine ya Kimtandao.
Endelea kufuatilia....
UPDATES
Mchekeshaji Idris amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu pamoja na mwenzake Innocent Maiga na kusomewa mashtaka yao
Katika shtaka la kwaza, Idris pekee anatuhumiwa kutumia laini yenye namba 0753 617621 ambayo haijasajiliwa kwa jina lake bali kwa jina la Innocent Maiga
Katika shtaka la pili, Innocent pekee anatuhumiwa kushindwa kuripoti ubadili wa umiliki wa laini hiyo baada ya Idris kuanza kuitumia
UPDATE
Idris amepata dhamana katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu baada ya kutumiza masharti yakuwa na wadhamini wawili na bond ya TZS 15,000,000/-
Kesi itatajwa tena Juni 09, 2020
Hapana amehurumiwa tu, alikuwa anaenda, Mzee akasema Mwacheni anatafuta Kiki tuNadhani ushauri wako umepuuzwaa, hata wao wameona aibu kufungua mashitaka ya kijinga kiasi hicho ulicho fikiria.
Sent from my SM-A500F using JamiiForums mobile app
Mwambie Arudie tena uone anasemajeNadhani ushauri wako umepuuzwaa, hata wao wameona aibu kufungua mashitaka ya kijinga kiasi hicho ulicho fikiria.
Sent from my SM-A500F using JamiiForums mobile app
Hiyo Kiki ameitoa mwenyewe huyo mzee. Angepuuza tangia mwanzo kingepungua nini kwenye huo uzee wake. ?Hapana amehurumiwa tu, alikuwa anaenda, Mzee akasema Mwacheni anatafuta Kiki tu
Hiyo Kiki ameitoa mwenyewe huyo mzee. Angepuuza tangia mwanzo kingepungua nini kwenye huo uzee wake. ?
Ajikite kwenye mambo makubwa ya ki nchi na sio hivi vituko vya kitotoo. Mzee mzima kuhangaishwa na vicheko vya kitotoo ni upuuzi ulio pitiliza .
Siku akichorwa hivi kama trump si atapiga watu risasi hadharani. Teheteheee tehetehee View attachment 1461669
Sent from my SM-A500F using JamiiForums mobile app