Wadau hapa tusaidiane kama una project yoyote kuhusu Electrical Engineering.
Karibuni wadau wa JF
BachelorBachelor au Diploma?,
iliyobase kwenye electronics ama?Wadau hapa tusaidiane kama una project yoyote kuhusu Electrical Engineering.
Karibuni wadau wa JF
Design Fault Locator in Distribution System. Hapa naongelea Distribution na sio Transmission Line.Wadau hapa tusaidiane kama una project yoyote kuhusu Electrical Engineering.
Karibuni wadau wa JF
Nyuzi kama hizi huwa hazina wachangiaji
Nimempa hapo juu akomae kama anawezaMwambie atoe dau watakuja, lol.
Hata watumiayo kwa sasa, kama wataamua kuiboresha, inafanya vizuri tu, si inasoma fault kwa m/s?Design Fault Locator in Distribution System. Hapa naongelea Distribution na sio Transmission Line.
Mfano una Substation ambayo ina distribute 33kV to various areas. Sasa imetokea fault let say Earth Fault then by using GPS system then protection relay iseme kuwa fault imetokea kwenye coordinates mfano 0342337E/0457994N. Then directly unajua fault imetokea eneo fulani na uweze kurekebisha.
Hii ukiweza itanunuliwa na TANESCO kwa gharama yoyote.
Ndioiliyobase kwenye electronics ama?
Asante sana kakaDesign Fault Locator in Distribution System. Hapa naongelea Distribution na sio Transmission Line.
Mfano una Substation ambayo ina distribute 33kV to various areas. Sasa imetokea fault let say Earth Fault then by using GPS system then protection relay iseme kuwa fault imetokea kwenye coordinates mfano 0342337E/0457994N. Then directly unajua fault imetokea eneo fulani na uweze kurekebisha.
Hii ukiweza itanunuliwa na TANESCO kwa gharama yoyote.