Hasara
Senior Member
- Dec 29, 2006
- 141
- 8
Sasa ninaamini kwamba JK anafuata usauri wa WanaJF kijiwe kidumuu
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Rais Jakaya Kikwete amemteua na kumwongeza Mhe. Iddi Simba kuwa mmoja wa wajumbe wa Kamati ya kuangalia upya mikataba ya uchimbaji wa madini, Kamati ambayo iko chini ya Uenyekiti wa Mhe. Mark Bomani.
Mhe. Iddi Simba ni Mbunge Mstaafu wa Jimbo la Ilala.
Wajumbe wengine waliokwisha teuliwa ni:
Mhe. John Momose Cheyo
(Mbunge) - Bariadi Mashariki (UDP) - Mjumbe
Mhe. Zuberi Zitto Kabwe
(Mbunge) - Kigoma Kaskazini
(CHADEMA) - Mjumbe
Mhe. Dkt. Harrison George Mwakyembe
(Mbunge) - Kyela (CCM) - Mjumbe
Mhe. Ezekiel Magolyo Maige
(Mbunge) - Msalala (CCM) - Mjumbe
Bw. Peter L. Machunde - Soko la Hisa, DSM
(DSE) - Mjumbe
Bw. David Tarimo - PriceWater Coopers - Mjumbe
Bi Maria N. Kejo - Mkurugenzi wa Madai
na Sheria za Kimataifa
Wizara ya Katiba na Sheria) - Mjumbe
Bi. Salome Makange - Mwanasheria wa Wizara
ya Nishati na Madini - Mjumbe
Bw. Mugisha Kamugisha - Kamishna wa Sera
Wizara ya Fedha - Mjumbe
Bw. Edward Kihundwa - Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Makazi
Wizara ya Ardhi - Mjumbe
Ikulu,
DAR ES SALAAM.
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Rais Jakaya Kikwete amemteua na kumwongeza Mhe. Iddi Simba kuwa mmoja wa wajumbe wa Kamati ya kuangalia upya mikataba ya uchimbaji wa madini, Kamati ambayo iko chini ya Uenyekiti wa Mhe. Mark Bomani.
Mhe. Iddi Simba ni Mbunge Mstaafu wa Jimbo la Ilala.
Wajumbe wengine waliokwisha teuliwa ni:
Mhe. John Momose Cheyo
(Mbunge) - Bariadi Mashariki (UDP) - Mjumbe
Mhe. Zuberi Zitto Kabwe
(Mbunge) - Kigoma Kaskazini
(CHADEMA) - Mjumbe
Mhe. Dkt. Harrison George Mwakyembe
(Mbunge) - Kyela (CCM) - Mjumbe
Mhe. Ezekiel Magolyo Maige
(Mbunge) - Msalala (CCM) - Mjumbe
Bw. Peter L. Machunde - Soko la Hisa, DSM
(DSE) - Mjumbe
Bw. David Tarimo - PriceWater Coopers - Mjumbe
Bi Maria N. Kejo - Mkurugenzi wa Madai
na Sheria za Kimataifa
Wizara ya Katiba na Sheria) - Mjumbe
Bi. Salome Makange - Mwanasheria wa Wizara
ya Nishati na Madini - Mjumbe
Bw. Mugisha Kamugisha - Kamishna wa Sera
Wizara ya Fedha - Mjumbe
Bw. Edward Kihundwa - Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Makazi
Wizara ya Ardhi - Mjumbe
Ikulu,
DAR ES SALAAM.