Iddi Simba ndiye aliyeua Klabu ya Saigon

wimbi la mbele

JF-Expert Member
Jan 4, 2011
647
266
Mtu yoyote wa mjini kabla hujafanya kazi na mtu unatakiwa unamfanyia diligence sasa hao wanaopiga madili na Iddi Simba hawakujua jinsi gani alivyoiua kalbu ya Saigon?

Kama kaweza kuia ile klabu what makes you think angekuwa na uadilifu huo?

kama kaweza kuia Saigon angeshindwa kuiimaliza UDA?
 
Mtu yoyote wa mjini kabla hujafanya kazi na mtu unatakiwa unamfanyia diligence sasa hao wanaopiga madili na Iddi Simba hawakujua jinsi gani alivyoiua kalbu ya Saigon?

Kama kaweza kuia ile klabu what makes you think angekuwa na uadilifu huo?

kama kaweza kuia Saigon angeshindwa kuiimaliza UDA?

Mkuu Dar siyo mwenyeji sana. Unaweza kufafanua klabu Saigon? Ilikuwa inashughulika na nini na huyu mwenye heshima zake aliiuaje?
 
Mtu yoyote wa mjini kabla hujafanya kazi na mtu unatakiwa unamfanyia diligence sasa hao wanaopiga madili na Iddi Simba hawakujua jinsi gani alivyoiua kalbu ya Saigon?

Kama kaweza kuia ile klabu what makes you think angekuwa na uadilifu huo?

kama kaweza kuia Saigon angeshindwa kuiimaliza UDA?

hivi JK anawajibishwa vipi kwa teuzi hizi za kirafiki bila ya kujali masilahi ya utaifa wetu?
 
Idd Simba yeye na mambo ya fedha ni kama chura na maji!. Alipokuja kumfanyia kampeni Didas Masuburi pale club hoja yake kuu ilikuwa eti Masuburi atatupatia tenda za jiji watu wa mjini kumbe ana lake la UDA loo
 
Simba!umezeeka vibaya na kwa aibu sana.sifa ya ufisadi inakumengenya sana japo unajitahidi kujitetea but umekamatika.days are numbered.
 
Mkuu Dar siyo mwenyeji sana. Unaweza kufafanua klabu Saigon? Ilikuwa inashughulika na nini na huyu mwenye heshima zake aliiuaje?

Hii club iliuwa maarufu sana hapa mjini dar kwani ipo mtaa wa sikukuu na narung'ombe kwenye kituo cha big mayai enzi hizo. Hiyo club ilikuwa maarufu sana hata jk alikuwa mwanachama na usalama wa taifa kilikuwa kijiwe chao enzi za nyerere ilikuwa ni club maarufu sana. Mtu kama aden rage, jumanne masimenti, yaani simba club na yanga funs ulikuwa huwezi kuwakosa.
 
sasa hivi saigon kimebaki ni kijiwe cha kunywea kahawa na kuongelea habari za simba na yanga.wakati wa kampeni wanasiasa hasa wa ccm lazima waende kugawa pale tshirt na kofia.sasa hivi imebaki story tu.ndama mtoto wa ng'ombe kafanya nini,papa msoffe kaenda wapi?shimbo kapata tillion ngapi.mia
 
WAJAMENI NYIE WACHENI TU, IDDI SIMBA ANA KAMPUNI INAITWA SERENGETI ADVISERS, ANASHIRIKIANA NA WAMAREKANI KUNUNUA ARDHI TAKRIBANI Ha 200 000 KATIKA MIKOA YA KIGOMA NA RUKWA NA HIYO ARDHI KASHAPEWA. ANAUNGWA MKONO SAAAAAAAAAAAANA NA DC WA MPANDA WA SASA BAADA YA KUONJESHWA SAFARI YA MAREKANI YEYE PAMOJA NA MADIWANI WAKE WA MPANDA.

MJUE PIA KUWA IDDI SIMBA SIYO MTANZANIA, HILI LINA FAHAMIKA LAKINI SERIKALI INAUMBIA MACHO.

MIE NAPITATU WAJAMENI!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
WAJAMENI NYIE WACHENI TU, IDDI SIMBA ANA KAMPUNI INAITWA SERENGETI ADVISERS, ANASHIRIKIANA NA WAMAREKANI KUNUNUA ARDHI TAKRIBANI Ha 200 000 KATIKA MIKOA YA KIGOMA NA RUKWA NA HIYO ARDHI KASHAPEWA. ANAUNGWA MKONO SAAAAAAAAAAAANA NA DC WA MPANDA WA SASA BAADA YA KUONJESHWA SAFARI YA MAREKANI YEYE PAMOJA NA MADIWANI WAKE WA MPANDA.

MJUE PIA KUWA IDDI SIMBA SIYO MTANZANIA, HILI LINA FAHAMIKA LAKINI SERIKALI INAUMBIA MACHO.

MIE NAPITATU WAJAMENI!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

kwa hili unasikitisha sasa, kama ardhi mamlaka husika zimehamua kumuuzia na gebge lake yeye anakosa gani.

yes Idd SIMBA sio mtanganyika lakini anaishi na kufanya ufisadi tanganyika. kama mna sheria na mnaogopa kuzitumia hizo sheria ni boramukakaa kimya ukawaacha wakina IDD simba na hawa wahindi waliosambaa kila mahali wanufaike na tanganyika huru
 
Idd Simba yeye na mambo ya fedha ni kama chura na maji!. Alipokuja kumfanyia kampeni Didas Masuburi pale club hoja yake kuu ilikuwa eti Masuburi atatupatia tenda za jiji watu wa mjini kumbe ana lake la UDA loo

Heri chura anaweza akabana nchi kavu kwa muda lakini Idi Simba na fedha ni kama FISADI na CCM, kuwatenga kaazi !
 
Iddi Simba kwanza kabisa ana matatizo ya utovu wa nidhamu na ndio maana hili la kuia UDA alishiriki kikamilifu kwa sababu hana chembe ya uchungu na UDA.

Sisi tumezaliwa na kuishi kwa kupanda UDA na nathubutu kusema kuwa 90% ya waliokulia Dar in the 80's wanajua jinsi gani tulivyo kuwa attached na hili shirika. Kuanzia ma ICARUS na mengineyo. Lakini kwa Iddi Simba haya yote yalikuwa ni bure na hakuangalia how sensitive hii issue ya UDA itakavyokuwa na kasahau attachment ambayo sisi wana Dar tulivyokuwa na hili shirika ambalo wangesema wana float shares naamini watu wangelinunua na likawa shirika letu sote na tungeliokoa tuu kama ambavyo makampuni kama STAGE COACH na mengineyo ya nchi za nje yalivyokuwa PLC.

Back to Saigon.

Iddi Simba kwa hakuwa memba pale Klabuni lakini yeye akishirikiana na Khalifa Hamisi waliiingizwa klabuni lakini kumbe nia ya Simba ilikuwa ni kuifanya Saigon kuwa mali yake binafsi na kutokana na matatizo ya njaa (kama ilivyo UDA) bwana Iddi Simba alitumia nafasi yake kujijenga na allies wake mle lakini kama mjuavyo Saigon watu wakaiona ile ndipo wale wazee wa Kiswahili wakafanya mambo ambayo wansiasa wetu walishindwa kuyafanya nalo ni KUWASIMAMISHA na KUWAFUKUZA uanachama yeye Iddi Simba, Khalifa Khamisi, Yule mzee wa Bon City (jina limentoka) na jamaa wengine wawili watatu kwa UTOVU WA NIDHAMU, FITNA, UZANDIKI,UFISADI, RUSHWA, na MENGINEYO ambayo siwezi kuyaweka bayana.

Sasa kama mnavyojua pale mtaa wa sikukuuu nafasi ilikuwa ndogo ndipo ikabidi Bakhressa atoe jengo lake ili iwe klabu kwa muda...na ile njaa ya pale kama ya UDA for some reasons ikabidi IDDI SIMBA arejee...mind you katiba ya SAIGON haimruhusu kuwa mwanachama pale na pili huo uongozi anautaka hawezi kuupata. Baadaya kurudi uchaguzi wa 2010 nao umewadia sasa ngoma ikawa ni DIDAS MASABURI na HASHIM SAGHAF ndipo hapo corrupt practises za Iddi Simba zivyojidhirisha wazi.

Iddi Simba ambaye by the way ni MBURUNDI ( japo anadai mama yake ni MZARAMO) akapiga dili yeye na timu yake (Masaburi na yule meya wa Ilala yule dogo ) kuwa wakipewa backing na uongozi uliopo wa Saigon wao watawahakikishia kuwa tenda za soko la Feri na kukusanya kodi za parking mjini. Hivyo ule uongozi uliopo ukaamua kuwakubalia kuwa support .

Kila mtu wa mjini anajuakuwa Saigon katika social calendar yao kila mwaka wana mambo mawili

1. Kuwasomea Khitma marehemu

2. Kuftarisha mwezi wa Ramadhani

Lakini Iddi simba kwa kujua kuna mwanya wa mambo ya pesa basi huwa tesa weeee wale wazee wa Saigon na hivyo vijisenti vyake vya michango mpaka anapojua wamekosa pa kwenda ndio anatoa kiduchu na hapo ndipo na yeye huja na pre conditions kama vile achapishiwe kadi mpya ya uanachama, mafisadi wenzie wawe supported na mengineyo

Sasa cha kujiuliza:

Rizwani anaonekana ni mtoto wa Mjini ameshindwa vipi kuuliza profile ya Iddi Simba kabla hajadeal naye?

Juma Kapuya ameingia vipi kwenye mtego wa Iddi Simba?

Serengeti Advisers pamoja na elimu yote waliosheheni nayo ilikuwaje wakamuamini mtu kama Iddi Simba kuwa mmoja kati wa shauri wao ili hali wanajua he has nothing to offer on the table?

Tumekatiwa tena umeme ...baadae ukirudi nitaendelea
 
Mkuu slidingroof unayoyaongea humu kwangu ni muhimu saana
sikujua kuwa masaburi kumbe alipewa support na saigon club na iddi simba
mimi nilifikiri ni manji tu peke yake
naomba umwage yote hapa pamoja na hayo usiyotaka kuya mwaga hapa...
 
Msisahau yanga kampuni,na nani aliyeanzisha kundi la yanga kampuni.
 
yule meya wa Ilala ambaye ni swahiba wake Iddi Simba na Masaburi anaitwa Jerry Slaa

basically, ni kuwa Iddi Simba ana wa control Meya wa manispaa tajiri kuliko zote Tanzania na pia ana mcontrol meya wa Dar, Saigon club na bila kusahau hayo madudu yake ya UDA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom