wimbi la mbele
JF-Expert Member
- Jan 4, 2011
- 647
- 266
Mtu yoyote wa mjini kabla hujafanya kazi na mtu unatakiwa unamfanyia diligence sasa hao wanaopiga madili na Iddi Simba hawakujua jinsi gani alivyoiua kalbu ya Saigon?
Kama kaweza kuia ile klabu what makes you think angekuwa na uadilifu huo?
kama kaweza kuia Saigon angeshindwa kuiimaliza UDA?
Kama kaweza kuia ile klabu what makes you think angekuwa na uadilifu huo?
kama kaweza kuia Saigon angeshindwa kuiimaliza UDA?