mr chopa
JF-Expert Member
- Aug 26, 2016
- 5,305
- 13,640
Tanzania pekee asingeweza alipigwa na Tanzania frelimo museven na jeshi lake obote na jeshi lake plus wacubaKwamba na wewe umesimuliwa habari Za Iddi Amin na umekuja na andiko na kuhitimisha kwamba Uganda ingekuwa ni zaidi ya USA?
Kama alipigwa na TZ akiwa na sapoti ya Ghadafi basi alikua goigoi sana na Hakua mwepesi kujua nini kitatokea kesho kwa matendo yake ya Leo.
Kwamba wakati wa Amin Uganda iliendelea Sana? Kuna shida kwenye kuchanganua mambo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent from my Infinix X624 using Tapatalk