Cha Moto
JF-Expert Member
- Jul 2, 2011
- 945
- 153
"Ninachosema ni hivi, kwa mbunge wa kweli ambaye anasimamia maslahi ya wananchi wake, hizo fedha si nyingi. Kwa sababu mbunge makini anahitaji kutoa misaada, kuona malengo ya wapiga kura wake yametimia na mambo mengi angependa kufanya,
Nilipokuwa mbunge niliandamwa sana na wananchi na nilikuwa nawasaidia kila wanapohitaji msaada kutoka kwangu,
Hii ni kauli ya Idd Simba.
Source: Mwananchi 20/12/2011
Hivi ni kweli hizi ndio kazi za Mbunge Jimboni kwake?
Nilipokuwa mbunge niliandamwa sana na wananchi na nilikuwa nawasaidia kila wanapohitaji msaada kutoka kwangu,
Hii ni kauli ya Idd Simba.
Source: Mwananchi 20/12/2011
Hivi ni kweli hizi ndio kazi za Mbunge Jimboni kwake?