Babuk,
unamjua mbuge asiyechukua posho hata mmoja?
Specifically posho inayoongelewa hapa na iliyoongezwa kutoka 70,000/- to 200,000/- ni
sitting allowance (posho ya vikao). Baada ya utangulizi huo, ndiyo ninawafahamu wabunge
ambao hawachukui Siiting allowance to mention one Zitto Kabwe.
Lakini kuliangalia suala la sitting allowance in personal it is myopic kama Sitta na Mi-bunge
ya CCM inavyoliangalia. You have to look it in broader picture, mfumo unaohalilisha hizo
Siiting allowance, in black and white that is an Institutional corruption.
Mimi huwa ninachukia sana nyinyi magamba pale mnapokosa hoja mnaanza kuzi
personalize kama wewe. Simple minds discuss people. Na kwa akili hizi kufikia mwaka 2015
tutakuwa Taifa la kwanza kwa ombaomba yaani Iraq na Afghanistani watakuwa juu yetu
achilia mbali Somalia ambao hadi leo wako on top of Tanzania.