Idd Amin Dada

His Excellency
President for Life Field Marshal
Alhaj Dr. Idi Amin Dada, VC, DSO,
MC, CBE

vyeo hadi kwenye viatu
 
His Excellency
President for Life Field Marshal
Alhaj Dr. Idi Amin Dada, VC, DSO,
MC, CBE

vyeo hadi kwenye viatu
Vile vyeo vyote alivyovitamani katika maisha yake alipokua rais alijipa, hakuwahahi kupokea Victoria Cross lakini kwa power ya urais alijipa. There will never be a person like him.
 
Vile vyeo vyote alivyovitamani katika maisha yake alipokua rais alijipa, hakuwahahi kupokea Victoria Cross lakini kwa power ya urais alijipa. There will never be a person like him.
nmecheka sana utadhan mstaafu wetu yule alikuwa naye yupo kwa vyeo prof..dr..mtukufu.......
 
Hajawahi kuwa Na mazuri Yake?
Waganda wanasema hawatakaa wapate rais kama huyu, kwanza hakuruhusiwa mtu kutoka nje ya nyumba yake na ndala (kandambili). Ukionekana umevaa kiatu hicho unapewa adhabu (kichura kwa kwenda mbele). Hata kama unatoka nyumbani kwako kwenda dukani tu nyumba ya pili, unatakiwa uwe kwenye kiatu na soksi na tai juu.
 
African leaders always unpredictable, they got good promise and lies to win peoples heart but later leave their people with broken heart.
 
PAR255017.jpg
.
Idd amini akiwa na waziri mkuu wa israel,moshe Dayan,mwenye ulemavu wa jicho
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom