Idara ya Radiology Muhimbili itupiwe macho

Chifu Sanze

JF-Expert Member
Jul 20, 2021
3,122
6,344
Leo nimefika hospital ya taifa Muhimbili kufanya kipimo cha Ultra sound,kwa kweli hali niliyoishuhudia ni ya kusikitisha kwani wagonjwa wamekuwa wakikaa muda mrefu bila kupatiwa huduma.

Wagonjwa wakifika wanaambiwa wanywe maji wataitwa lakini unaweza kukaa zaidi ya saa 5 bado huitwi.

Angalau wale wanaotoka wodini hupewa kipaumbele kidogo lakini nyie ambao mmekuja kutoka majumbani ni balaa.

Nyie mtaona watu wengine wakitoka kufanyiwa kipimo bila kujua wameingiaje mtu akienda kuuliza anaambiwa subiri kwenye benchi utaitwa.

Sasa sijui vifaa ni vichache kuliko wagonjwa au na wao sasa wanalamba asali na nimesikia nikiwa pale pale hata kwenye kipimo cha MRI hali ni hiyo hiyo.
 
Achaneni navyo hivyo vipimo zireni kuleni chakula kizuri na maji memgi na mazoezi na matunda na green table nauhakika hamtakufa kwa Sasa labda baadae Sana acheni hofu za KIPUMBAVU.Mmelishwa propaganda ndo maana ishu ndogo mnakuwa na hofu
]
 
Leo nimefika hospital ya taifa Muhimbili kufanya kipimo cha Ultra sound,kwa kweli hali niliyoishuhudia ni ya kusikitisha kwani wagonjwa wamekuwa wakikaa muda mrefu bila kupatiwa huduma.

Wagonjwa wakifika wanaambiwa wanywe maji wataitwa lakini unaweza kukaa zaidi ya saa 5 bado huitwi.

Angalau wale wanaotoka wodini hupewa kipaumbele kidogo lakini nyie ambao mmekuja kutoka majumbani ni balaa.

Nyie mtaona watu wengine wakitoka kufanyiwa kipimo bila kujua wameingiaje mtu akienda kuuliza anaambiwa subiri kwenye benchi utaitwa.

Sasa sijui vifaa ni vichache kuliko wagonjwa au na wao sasa wanalamba asali na nimesikia nikiwa pale pale hata kwenye kipimo cha MRI hali ni hiyo hiyo.
Kama Ultrasound yako sio so special, unaweza kuifanyia popote ukaleta majibu kwa daktari wako....Haiwezekani hadi Ultrasound za kawaida zikafanyikie hospitali ya taifa...Tafsiri ya Hospitali ya Taifa ni rank ya mwisho ya rufaa, unatakiwa upewe huduma ambazo hazipatikani kwingine kuzuia msongamano...Waache wataalam wakomae na special ultrasound tests ambazo haziwezi kufanyika pembezoni
 
Kama Ultrasound yako sio so special, unaweza kuifanyia popote ukaleta majibu kwa daktari wako....Haiwezekani hadi Ultrasound za kawaida zikafanyikie hospitali ya taifa...Tafsiri ya Hospitali ya Taifa ni rank ya mwisho ya rufaa, unatakiwa upewe huduma ambazo hazipatikani kwingine kuzuia msongamano...Waache wataalam wakomae na special ultrasound tests ambazo haziwezi kufanyika pembezoni
Wagonjwa wengi wanaofanya vipimo pale wanaudhuria kliniki za maradhi yao pale pale Muhimbili na ukifanyiwa kipimo majibu yanatumwa kwa daktari kwa njia ya mtandao sasa sijui kama wanaruhusu kwenda kufanya kwingine na kuleta majibu kwa daktari.
 
Hospitali ya Muhimbili ni Mungu tu anajua
Wengi tumeumiziwa wazazi wetu Ndugu zetu
Vifo vya kukusudiwa
Acha tunyamaze lakini
 
Wagonjwa wengi wanaofanya vipimo pale wanaudhuria kliniki za maradhi yao pale pale Muhimbili na ukifanyiwa kipimo majibu yanatumwa kwa daktari kwa njia ya mtandao sasa sijui kama wanaruhusu kwenda kufanya kwingine na kuleta majibu kwa daktari.
Wagonjwa wengi wazoefu wa MNH naonaga wanakuja vituo vya karibu wakiomba kufanya vipimo ili wakienda Muhimbili wajiepusha na adha za misongamano, wengine tena huwa wanasema Dr wao kawaruhusu.

Kama kipimo sio so special sana, kuna tifauti ndogo ya kukifanyia muhimbili na hospitali nyingine.

Nime share uzoefu tu wa wagonjwa nilokutana nao wakifanya nilichokitaja hapo juu
 
Kama Ultrasound yako sio so special, unaweza kuifanyia popote ukaleta majibu kwa daktari wako....Haiwezekani hadi Ultrasound za kawaida zikafanyikie hospitali ya taifa...Tafsiri ya Hospitali ya Taifa ni rank ya mwisho ya rufaa, unatakiwa upewe huduma ambazo hazipatikani kwingine kuzuia msongamano...Waache wataalam wakomae na special ultrasound tests ambazo haziwezi kufanyika pembezoni
huwezi kufika hapo bila kupewa RUFAA
na hiyo tabia anayosema jamaa ipo kweli hapo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom