Melki the Storyteller
JF-Expert Member
- May 3, 2022
- 5,700
- 9,778
- Thread starter
- #61
Ujinga kama ujinga mwingine wowote.Mwanaume ukipata mtoto wa kiume jipige kifua sema mimi ni dume la nbegu.
👍🏽😂🤣🤣Tisha sana mkuu...😂😂Kama Kula juu yake hata.5 poa mkuu
Tatizo uchumi tunatamani tuoe wa rangi zote, maana simu ,mke vyote vinategemea mfuko wa mwanaume."Wanaume tujifunze kuoa mwanamke zaidi ya mmoja ili na wanawake wengine wapate pa kuegemea Tuache kuwachakata mbususu na kuachana nao tu!" Man biznes