Mara mkuu.
Aah sasa mambo ya kuanza kufunga pm sababu ya matatizo uliyoyaleta barieda kweli sio poa, mi nakushauri tu,siku ukitaka kuandika uzi wa kutafuta mke ,we andika tu waliosingle na wahitaji watakufata wao ,hii ya kujisema, here, I am single mmh kama haijakaa poa sanaaInbox unaifunga mpaka apate idhini yako.
mfanya research toka twaweza huyu,akipata orodha atatuletea calculations zake na conclusionHahaa, unataka kufanyia nini hayo maorodhesho Antonio?,kama umepania hivii
Aisee, kila rakheri ktk utafiti,japo am not sure kama atapata data zilizojitoshelezamfanya research toka twaweza huyu,akipata orodha atatuletea calculations zake na conclusion
Atatuonyesha kwenye recommendation challenges alizopata,ili tujue validity of dataAisee, kila rakheri ktk utafiti,japo am not sure kama atapata data zilizojitosheleza
Oh, ok acha tusubiriAtatuonyesha kwenye recommendation challenges alizopata,ili tujue validity of data
Hahaha..baba gilesi hapendi niwe singo,.Hilo cheko vp...mama giles hivi na ww ni single??
Hapana mkuu, si lazima nioe humu lakin kabla sijaenda nje lazima nihakikishe nimekoswa humu.

Aah sasa mambo ya kuanza kufunga pm sababu ya matatizo uliyoyaleta barieda kweli sio poa, mi nakushauri tu,siku ukitaka kuandika uzi wa kutafuta mke ,we andika tu waliosingle na wahitaji watakufata wao ,hii ya kujisema, here, I am single mmh kama haijakaa poa sanaa
Au anatangaza walioitwa kwenye usahili wa awalimkuu upo kama unatangaZa nafasi za ajira vile ....
Ayo majina ya kaz gan
hahaaa, mimi nna familia na watoto wakubwa tu mkuu, huo usingle hapanaHahahaa ytaka ujasiri!
Lakini mie nadhani kwa mdada yeyote hata wewe ulipo type "Duuh!" Hapo ulijiorodhesha tayari wakubwa tunaelewa sio hadi uandike "niko single"
Hahaa, unataka kufanyia nini hayo maorodhesho Antonio?,kama umepania hivii
kwani ni vibaya nikijua best? Na ndo ntapata pa kuanziahhaa si mbaya bana, na usijali utapata tu hiyo orodhaa![]()
![]()
![]()
kwani ni vibaya nikijua best? Na ndo ntapata pa kuanzia