Idadi kubwa ya Wananchi inalinda wanafamilia pamoja na mali zake sababu kubwa iliyopelekea kupuuzwa kwa maandamano

Idadi kubwa ya Wananchi inalinda wanafamilia pamoja na mali zake sababu kubwa iliyopelekea kupuuzwa kwa maandamano

Pakome

JF-Expert Member
Joined
Dec 8, 2024
Posts
1,541
Reaction score
916
Baada ya Wananchi kuumwa na nyoka baada ya kupoteza wanafanilia pamoja na mali zao, wamebadilisha fikra zao na kuamua kulinda familia pamoja na mali zao badala ya kushiriki kwenye maandamano, idadi kubwa inasema haitaki kupoteza urithi wake wa watu na mali uliotafutwa miaka kenda iliyopita

Maandamano yamepuuzwa na maelfu ya Wananchi wakidai kuwa hawapo tena tayari kuharibiwa maisha pamoja na mali zao

Waandamanaji wamezidiwa na idadi ya adui ikiwemo Wananchi wenyewe jambo linalopelekea Waandamanaji hao wakate tamaa kwasababu wanaweza kushughulikiwa na Wananchi wakishirikiana na Jeshi la Polisi

Idadi kubwa ya Wananchi wenye nguvu hasa mgambo imeungana na nia ya Jeshi la Polisi ya kudhibiti waandamanaji

Combination hii kubwa ya Wananchi na Jeshi la Polisi itapelekea waandamanaji kuchezea za uso endapo watasababisha usumbufu
 
Hii inamaanisha Polisi Wameshindwa kulinda raia na mali zao, Akikusikia Mulirho atakupa kesi ya Uhaini
 
We jamaa ni mshamba na ni mjinga.
Unazungumzia maandamano na kutoa hitimisho sahizi asubuhi ?
Walah sio uongo
Kuna kolabo kubwa sana la Wananchi hasa wamiliki wa nyumba na Wafanyabiashara pamoja na Jeshi la Polisi
 
tilirika ili malipo yako uyapate., ila waa.bie leo, hamuui GenZ hata mmoja. wacha wajukuu wacheze na bibi yao
Lissu aliambiwa aende wayajenge akasema wanampotezea muda, tatizo leo mnatumia hasira
 
Wakikomaa leo basi mabadiliko lazima. Yawe mabaya au mazuri. Wakiufyata ndio basi tena. It might never happen until 2 decades at least.
 
Wakikomaa leo basi mabadiliko lazima. Yawe mabaya au mazuri. Wakiufyata ndio basi tena. It might never happen until 2 decades at least.
ahaa ahaaaaa tegesha tu kichwa kipasuliwe mbona unasahaulika hata wiki haiishi
 
Back
Top Bottom