cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 117,672
- 191,648
Kuna ID moja ninayo napendwa balaa, halafu nyingine wananichukia balaa.
Mimi ni yule yule, jana na leo hata daima.
😂😂😂😂
Kuna ID moja ninayo napendwa balaa, halafu nyingine wananichukia balaa.
Mimi ni yule yule, jana na leo hata daima.
Naam kaka, nataka nizidi kuongeza IDs zingine kaka.Mbarikiwa kaka 😊 ndege supapawa
Usikute na hii ya psl god ni yako maana ni kama mtu kalog in chachap kunikomesha! Mtu akijihisi kuzidiwa kete huwa naona rahaaa💃🏽Nia yangu ni njema tu mkuu. Nina IDs kibao ili JF ionekane ina wanachama wengi, na kisha iheshimike kwa kuwa na idadi kubwa ya members.
Ni uzalendo tu!
Ndio utuchambe 😊😊Umesahau ID ya kuuza makontena
hahahaha,aisee ni kipaji haswa ujue, mie nikiona kuna hatari ya shambulizi huwa fasta nakaa pembeni,mwepesi hasa wa kunusa hizo dangerBuda sio poa inashangaza tu gafla unaanza kupigwa na ballistic missile za kutisha kumbe ni mtu mmoja anafanya kuswitch id ila ni kipaji maana comment zinakuwa hazipishani muda 1min 2mn au 3min
Doctor yako ni ipi?😆Mbarikiwa kaka 😊 ndege supapawa
Hatareee
Nadhani hio inaweza kuwa sababuWatu hawana maisha nje ya jf ndio shida hiyo!
Sana kaka. Lazima mgeni ahadaike na kuiheshimu JF kwa kuwa na idadi kubwa ya wanachama bhana!Watu wanaupiga mwingi
hahahahahaha,kwamba humu ndio kula kwao?Watu hawana maisha nje ya jf ndio shida hiyo!
Mimi na ID moja tuuu sijawai kuwa na I'd yoyote ingineDoctor yako ni ipi?😆
Wanaume wa humu tutakufa vibaya 🤣Kuna ID moja ninayo napendwa balaa, halafu nyingine wananichukia balaa.
Mimi ni yule yule, jana na leo hata daima.
Inasikitisha sana , watu wameifanya JF kama ugaliWatu hawana maisha nje ya jf ndio shida hiyo!
Hii moja tu inanipa uvivu nikiongeza nyingine si nitazimia kabisa😀😀,
Wenzetu mnawezaje???
Mimi kuchamba hata sijuiNdio utuchambe 😊😊