ICC mbona wanachelewa sana?

ICC mbona wanachelewa sana?

Hawajachekewa mkuu... la kwanza ni wanatoa nafasi kwa nchi husika kuchunguza kwanza tuhuma za uhalifu unaodaiwa..ni baada ya hapo tu ndio ICC wanajiuliza Je uchunguzi huo unaridhisha viwango vya kimataifa?

Unajua kuna uchunguzi wowote wa mauaji unaofanyika hadi hivi sasa?
Huu wa.Tume ya Samia unakidhi viwango?

Na kama uko sahihi, wanasheria wa kimataifa kutoka taasisi za kimataifa waliofungua kesi ICC, hawajui hili unalosemq?
 
Israel walichukua miezi 5, tu,

Ila hapa machawa wanajitoa ufahamu ila kwenye mioyo Yao wanaomba kesi hisifunguliwe.

But binafsi kitendo Cha kushitakiwa na Intelwatch na Madrid Bar association na maneno ya Intelwatch director Dr.Paula

Itoshe kusema ni ngumu Samia kuchomoka. ICC Hawana haraka unaweza Kuta Hadi October ndo wanaibuka.

Since kesi ifunguliwe 13/11 muda Bado subiri angalau June

N.B Samia sio mjinga kumteua Prof Kabudi kazi maalumu

Aione Nasorro Katuga
Kabudi naye hafui dafu huko, kama Makesi ya makinikia iliwatoa jasho sembuse hii ya mauaji ambayo kila kitu kipo wazi , ataenda kutetea nini sasa
 
Hii Mahakama ya Kimataifa ya uhalifu dhidi ya binadamu(ICC), mbona inachukua muda mrefu sana hata kutoa taarifa ya wapi wamefikia au ni kinaendelea?

Jamani tufanyieni wepesi basi kabla machungu hayajapoa maana ni juzi tu tumetoneshwa kidonda kwa kauli za kiburi cha hali ya juu.
Relax wamemshika pabaya sana.

Unaambiwa, Ili asipelekwe ICC ,hayo matakwa aliyopewa , lazima tu aende ICC.
 
Hii Mahakama ya Kimataifa ya uhalifu dhidi ya binadamu(ICC), mbona inachukua muda mrefu sana hata kutoa taarifa ya wapi wamefikia au ni kinaendelea?

Jamani tufanyieni wepesi basi kabla machungu hayajapoa maana ni juzi tu tumetoneshwa kidonda kwa kauli za kiburi cha hali ya juu.
Inaenda step by step haitaki kuacha loose holes nyuma
 
Hii Mahakama ya Kimataifa ya uhalifu dhidi ya binadamu(ICC), mbona inachukua muda mrefu sana hata kutoa taarifa ya wapi wamefikia au ni kinaendelea?

Jamani tufanyieni wepesi basi kabla machungu hayajapoa maana ni juzi tu tumetoneshwa kidonda kwa kauli za kiburi cha hali ya juu.
Mtasubiri sana.
 
Relax wamemshika pabaya sana.

Unaambiwa, Ili asipelekwe ICC ,hayo matakwa aliyopewa , lazima tu aende ICC.
ICC lazima kwenda tu, hakuna cha mashariti hapa , vinginevyo ICC ifutwe kwenye ulimwengu wa Dunia , unaua watu hata wasio na hatia then ,ACC Inaleta mashariti gani kama hautokua upuuzi
 
Huu wa.Tume ya Samia unakidhi viwango?

Na kama uko sahihi, wanasheria wa kimataifa kutoka taasisi za kimataifa waliofungua kesi ICC, hawajui hili unalosemq?
Ikishaundwa tume maana yake taasisi za kimataifa kina AU na EU inabidi na zenyewe ziunde tume ambayo itakuja kufanya kazi na tume ya Chande.

Sio suala rahisi kama tunavyoliongelea kiushabiki.
 
ICC lazima kwenda tu, hakuna cha mashariti hapa , vinginevyo ICC ifutwe kwenye ulimwengu wa Dunia , unaua watu hata wasio na hatia then ,ACC Inaleta mashariti gani kama hautokua upuuzi
DRC wamekufa watu zaidi ya 2000 kule uvira na kivu mara baada ya Kagame, Tshisekedi na Trump kutia saini makubaliano ya biashara ya madini kufanyika, nani kamshtaki Tshisekedi kwa mauaji hayo?.

Trump kila siku anaua wamarekani na ICE wanafanya utekaji katika majimbo yote ya USA, umeshasikia Trump eti kapewa wito wa kushtakiwa ICC?.
 
Hii Mahakama ya Kimataifa ya uhalifu dhidi ya binadamu(ICC), mbona inachukua muda mrefu sana hata kutoa taarifa ya wapi wamefikia au ni kinaendelea?

Jamani tufanyieni wepesi basi kabla machungu hayajapoa maana ni juzi tu tumetoneshwa kidonda kwa kauli za kiburi cha hali ya juu.
Mpaka mda huu E.A wenda Tz inaongoza kwa mauaji ya wananchi wake ndani ya nchi , 29 Mo , tukitaka kuponya TAIFA lazima kila kitu ,tuuseme ukweli, bila papasa macho.

Tumepoteza nguvu kazi ya taifa hili kwa kiwango cha kutisha , leo moja ya vijana wangu may be angekua S.A katika chuo cha kurusha ndege , nimebaki na komoja tu ka kike , kengine kapo huko Uganda nako ka kike ka ujana ,

Hivi Abdul, na nduguze wangepotea iyo MO , kweli pangekalika? Mtoto wa IGP angepote , mkurugenzi wa Tiss angepotea, ,mtoto wa CDF angepotea pangeshikika , kwamba kisa tu sie maskini ndo wanatufanyia hivi, hua watoto wetu bila hatia, watakufa vifyo vibaya sana asema Bwana
 
Mpaka mda huu E.A wenda Tz inaongoza kwa mauaji ya wananchi wake ndani ya nchi , 29 Mo , tukitaka kuponya TAIFA lazima kila kitu ,tuuseme ukweli, bila papasa macho.

Tumepoteza nguvu kazi ya taifa hili kwa kiwango cha kutisha , leo moja ya vijana wangu may be angekua S.A katika chuo cha kurusha ndege , nimebaki na komoja tu ka kike , kengine kapo huko Uganda nako ka kike ka ujana ,

Hivi Abdul, na nduguze wangepotea iyo MO , kweli pangekalika? Mtoto wa IGP angepote , mkurugenzi wa Tiss angepotea, ,mtoto wa CDF angepotea pangeshikika , kwamba kisa tu sie maskini ndo wanatufanyia hivi, hua watoto wetu bila hatia, watakufa vifyo vibaya sana asema Bwana
Pole kwa msiba, tutakuwa tumejifunza kitu muhimu sana kupitia yale majanga. Vita haina macho.

Huko DRC, Sudan na Somalia kila siku wanauliwa watoto wasio na hatia. Ndoto nyingi zinazimwa zikiwa bado hata hazijaweza kuanza kuwa sehemu ya dunia yetu.

Anayeshinda kutwa nzima akisambaza habari za chuki anatengeneza mazingira ya wengi wetu kuumizwa na malipo ya hiyo dhambi.
 
Hii Mahakama ya Kimataifa ya uhalifu dhidi ya binadamu(ICC), mbona inachukua muda mrefu sana hata kutoa taarifa ya wapi wamefikia au ni kinaendelea?

Jamani tufanyieni wepesi basi kabla machungu hayajapoa maana ni juzi tu tumetoneshwa kidonda kwa kauli za kiburi cha hali ya juu.
Screenshot_20260112-170834~2.png
 
Rais wa philipines, duterte walimgonjea mpaka akamaliza term yake ya urais ndipo wakamdaka na kumpeleka icc
 
Back
Top Bottom