ICC mbona wanachelewa sana?

ICC mbona wanachelewa sana?

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
52,145
Reaction score
162,542
Hii Mahakama ya Kimataifa ya uhalifu dhidi ya binadamu(ICC), mbona inachukua muda mrefu sana hata kutoa taarifa ya wapi wamefikia au ni kinaendelea?

Jamani tufanyieni wepesi basi kabla machungu hayajapoa maana ni juzi tu tumetoneshwa kidonda kwa kauli za kiburi cha hali ya juu.
 
Israel walichukua miezi 5, tu,

Ila hapa machawa wanajitoa ufahamu ila kwenye mioyo Yao wanaomba kesi hisifunguliwe.

But binafsi kitendo Cha kushitakiwa na Intelwatch na Madrid Bar association na maneno ya Intelwatch director Dr.Paula

Itoshe kusema ni ngumu Samia kuchomoka. ICC Hawana haraka unaweza Kuta Hadi October ndo wanaibuka.

Since kesi ifunguliwe 13/11 muda Bado subiri angalau June

N.B Samia sio mjinga kumteua Prof Kabudi kazi maalumu

Aione Nasorro Katuga
 
Hii Mahakama ya Kimataifa ya uhalifu dhidi ya binadamu(ICC), mbona inachukua muda mrefu sana hata kutoa taarifa ya wapi wamefikia au ni kinaendelea?

Jamani tufanyieni wepesi basi kabla machungu hayajapoa .
Mimi napendekeza tuchukue sheria mkononi tu kama inavyofanya serikali hii dhalimu kuteka na kuua wakosoaji bila kuwafungulia mashitaka mahakamani ili sheria ichukue mkondo wake kama wana makosa waadhibiwe kwa mujibu wa sheria. Tunachotakiwa kufanya ni kulipa kisasi kwa polisi na familia zao kwani hawa ndiyo wanatumiwa na watesi wetu. Polisi tuwafanye kama nyoka waumizwe, wadhuriwe na kuuwawa wao na familia zao popote wanapoonekana. Hawa wanatumiwa kutuua sisi lakini hawana ulinzi kama hao mabosi wao wanaowatuma kufanya huu ushetani. Kwa mwezi mmoja tu wakiuliwa polisi elfu hamsini hao wengine akili zitawarudia. Kusubiri msaada toka nje ya nchi ni sawa na kusubi Airbus yabATCL pale Magufuli Bus Terminal.
 
Israel walichukua miezi 5, tu,

Ila hapa machawa wanajitoa ufahamu ila kwenye mioyo Yao wanaomba kesi hisifunguliwe.

But binafsi kitendo Cha kushitakiwa na Intelwatch na Madrid Bar association na maneno ya Intelwatch director Dr.Paula

Itoshe kusema ni ngumu Samia kuchomoka. ICC Hawana haraka unaweza Kuta Hadi October ndo wanaibuka.

Since kesi ifunguliwe 13/11 muda Bado subiri angalau June

N.B Samia sio mjinga kumteua Prof Kabudi kazi maalumu

Aione Nasorro Katuga
Kwamba Kabudi atafanya nini? Ndiye kaita wachina?
 
Hii Mahakama ya Kimataifa ya uhalifu dhidi ya binadamu(ICC), mbona inachukua muda mrefu sana hata kutoa taarifa ya wapi wamefikia au ni kinaendelea?

Jamani tufanyieni wepesi basi kabla machungu hayajapoa maana ni juzi tu tumetoneshwa kidonda kwa kauli za kiburi cha hali ya juu.
Hawajachekewa mkuu... la kwanza ni wanatoa nafasi kwa nchi husika kuchunguza kwanza tuhuma za uhalifu unaodaiwa..ni baada ya hapo tu ndio ICC wanajiuliza Je uchunguzi huo unaridhisha viwango vya kimataifa?

Unajua kuna uchunguzi wowote wa mauaji unaofanyika hadi hivi sasa?
 
Hawajachekewa mkuu... la kwanza ni wanatoa nafasi kwa nchi husika kuchunguza kwanza tuhuma za uhalifu unaodaiwa..ni baada ya hapo tu ndio ICC wanajiuliza Je uchunguzi huo unaridhisha viwango vya kimataifa?

Unajua kuna uchunguzi wowote wa mauaji unaofanyika hadi hivi sasa?
Kwamba ICC wamekubali uchunguzi wa jaji Chande?

Kwamba. Kenya, Israel na Philippines walisuburi uchunguzi wa ndani?

Ulimsikia Dr Paula, director wa intelwatch?
 
Hawajachekewa mkuu... la kwanza ni wanatoa nafasi kwa nchi husika kuchunguza kwanza tuhuma za uhalifu unaodaiwa..ni baada ya hapo tu ndio ICC wanajiuliza Je uchunguzi huo unaridhisha viwango vya kimataifa?

Unajua kuna uchunguzi wowote wa mauaji unaofanyika hadi hivi sasa?
Uchunguzi wa Chande
 
Israel walichukua miezi 5, tu,

Ila hapa machawa wanajitoa ufahamu ila kwenye mioyo Yao wanaomba kesi hisifunguliwe.

But binafsi kitendo Cha kushitakiwa na Intelwatch na Madrid Bar association na maneno ya Intelwatch director Dr.Paula

Itoshe kusema ni ngumu Samia kuchomoka. ICC Hawana haraka unaweza Kuta Hadi October ndo wanaibuka.

Since kesi ifunguliwe 13/11 muda Bado subiri angalau June

N.B Samia sio mjinga kumteua Prof Kabudi kazi maalumu

Aione Nasorro Katuga
Kabudi ni mweupe mno, maneno mengi tu.
 
Hii Mahakama ya Kimataifa ya uhalifu dhidi ya binadamu(ICC), mbona inachukua muda mrefu sana hata kutoa taarifa ya wapi wamefikia au ni kinaendelea?

Jamani tufanyieni wepesi basi kabla machungu hayajapoa maana ni juzi tu tumetoneshwa kidonda kwa kauli za kiburi cha hali ya juu.
X wanasema kimemo kimefika tayari kwake
 
Back
Top Bottom