IBTimes: Who is Maxence Melo arrested for not disclosing anonymous sources?



Kuna tofauti kubwa kati ya Wazungu kutuma Waandishi wao wa Habari ili kupata Habari zetu na sisi kuwatafuta na kuwapekea habari zinazotuhusu, hivyo vitu viwili tofauti!
 
Mkuu,

Mkuu wa nchi amewahi kutumia mifano ya nchi za Libya, Iraq, Syria akihusianisha na muktadha huo huo.

Kaka ...
 
Next year Melo atakuwa moja wa watu watakaopewa tuzo ya Nobel peace prize kwa ili tujisahihishe
 
Mkuu,

"Mpini" unaomaanisha ni sheria mama i.e. Katiba? Utaunga mkono "serikali" ikifanya lolote kinyume na Katiba?

Kaka ...
 
Mkuu,

Here (In this forum) is where we dare to "speak" openly. He, like anyone else, has the right to be here as well.

Kaka ...
 
nawashauri mods wawaondoe wanafiki wote wanaoshangilia hili jambo kama huyu BARBOSA,ISIS na wengineo,hawa ndio wanaoichongea jf kwa mabwana zao na wanalipwa kwa kazi hii tu.watu wabaya sana hawa!...ni wakua nao makini.
Mkuu,

Naomba nitofautiane na ushauri wako kwa mfano huu; Kwa nini tunafanya mitihani? Ili kujua kiwango cha uelewa cha mtihaniwa katika lile analofanyia mtihani. Basi wote tukiwa humu inasaidia pia kufahamu dhana, itikadi na mrengo wa kila mmoja wetu kwa namna tunavyojibainisha.

Kaka ...
 
Siku zote serikali za Africa huwa aziogopi wala kutikisika kwa vyombo vya habari vya nje tuombe mungu tu Melo wamwachie tu lakini kama serikali ikiamua JF ndo uwe mwisho wake hakuna kupinga wala kuzuia si CNN,FOX ,SKY NEWZ,DW,VOA,BBC na WikiLeaks kumbuka kuna wakina Julian Assange wanaishi kama digidigi kwa kutoa taarifa za serkali
 
Magufuli anahusika na hili? Hii Sheria ilipitushwa na Bunge ambapo Wapinzani walikuwepo sasa iweje uje kumlaumu Raisi kwa utekelezaji wa Sheria halali? Ndiyo maana hata Wazungu wenu wanawapuuzia kwa maana hamna hoja!
Mkuu Barbarosa

Naomba ufafanuzi (wako) wa kauli hii " hii sheria ilipitishwa na bunge ambapo wapinzani walikuwepo". Halafu nitarudi kujenga hoja baada ya kupata ufafanuzi wako.

Kaka ...
 
Mkuu,

"Nyerere" alizunguka nchi hizo hizo za wazungu na hatimaye tukapatiwa uhuru.

Kaka ...
 


Wahindishi wa habari wanatakiwa kuelimishwa sio kuwakamata.

Tukikosea tuelimishane. Huu ndio Utamaduni wetu.

Iran, Saudi Arabia, Rwanda, Misri, China na nchi nyingi duniani zinapingwa na Jumuia ya Kimataifa kwa tabia hizi za kuwakamata wahandishi wa habari. Tanzania yetu tusiingize kwenye orodha hiyo.


Tunayozungumza hapa sio lazima tuwe nchini Tanzania. Mahali popote pale kwenye Internet basi kutakuwa na sauti ya mwanaadamu.
Kumjua nani ni nani, haisaidii lolote maana wako wengine wako nchini Canada, Ungereza na hata Marekani, haya yanayozungumzwa hapa ni mazungumzo ya kawaida katika jamii na vyombo vikubwa vya habari.

Afrika tuwache uonevu wa wahandishi wa habari. Kupambana na vyombo vya habari vinavyosema uongo, polisi au jela sio dawa, tunatakiwa tujipange na ukweli na sisi pia.

Ukipewa kashfa, lazima uje mbele na kujisafisha.

Ndio maana katika vyou vikuu somo la "Digital Citizen" limeengezeka.

JF inatakiwa kutafuta wafadhili, lifanye shughuli zake nchini Canada hata JF iuzwe kwa Wazungu maana "Mzungu" haguswi.
Nani anadhubutu kumgusa raia wa Marekani au Uingereza?
Ni akina sisi tuu, ukizakiwa Mwafrika basi haki zako fulani zimeshavuliwa. Watu wanajua kuwaonea tuu Waafrika.

Mtanzania pia ni Binaadamu.
 
Kwa nini unaisemea serikal na hutak Maguful akosolewe hata km anastahili au mungu wenu huko ccm..... naomba unijib haraka kabla nami sijaanza kukufuatilia
 

Mkuu,

Ilikuchukua muda kujisajili kwa kuwa "ulijiona huna uwezowa kupost hoja kama walizokuwa wanapost members wa kipindi hicho". Nikisoma bandiko lako najifunza zaidi.

Kaka ...
 
Typical "black" mind
 
Ndo tumeamua kupambana nao coz wanatupuuza. WE MJINGA NIMEANZA KUKUCHUKIA ZAID KULIKO HATA UPUUZ HUU UNAOUTETEA
 
Kuna tofauti kubwa kati ya Wazungu kutuma Waandishi wao wa Habari ili kupata Habari zetu na sisi kuwatafuta na kuwapekea habari zinazotuhusu, hivyo vitu viwili tofauti!
Mkuu,

Tofauti hiyo ni ipi?

Kaka ...
 


Kama kweli mwendokasi wote huu wa Polisi ni kwa Issue hii JP anatakiwa amtumbue mtu jibu cc. Mzee Mwanakijiji .Itakuwa aibu na mwisho wa Vita dhidi ya Ufisadi kufanikiwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…