IBRA: harmonize amewekeza mil 6 pekee tu kwangu

IBRA: harmonize amewekeza mil 6 pekee tu kwangu

Hziyech22

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2019
Posts
17,028
Reaction score
23,692
Msanii wa kondegang anaejulikana kwa jina la IBRA ambaye yupo chini ya msanii harmonize amefunguka kuwa mpaka kufika hapa boss wake amewekeza mil 6 tu na huwa anapatapa show nyingi za Dola 3000 anazikataa anasema sio zinazoendana na thamani yangu na label kiujumla wakati uwekezaji wake ni mdogo kwangu, hiyo ni moja ya sababu ya ugomvi wangu na yeye.
 
Hahahaha kosa pesa ila uwe na akili aseme mkataba ukiondoka warudisha pesa ulowekezewa ama alisaini ka mangungo
Dogo angetulia tu tatizo papara nyingi sana, bad enough utashangaa kuna bitch mmoja nyuma ndio anamshika masikio ili afanye shit hizo kwa jamaa, malaya wazuri ila malaya wabaya pia, Ibrahim huyo malaya anaekuendesha kua makini nae km unapita humu JF nakwambia tena huyo malaya anaekushika masikio ufanye ujinga watch out, unaongea ujinga 6 Million how? I hate bad bitches wakishakutumia wanakuacha mwenyewe
 
Dogo angetulia tu tatizo papara nyingi sana, bad enough utashangaa kuna bitch mmoja nyuma ndio anamshika masikio ili afanye shit hizo kwa jamaa, malaya wazuri ila malaya wabaya pia, Ibrahim huyo malaya anaekuendesha kua makini nae km unapita humu JF nakwambia tena huyo malaya anaekushika masikio ufanye ujinga watch out, unaongea ujinga 6 Million how? I hate bad bitches wakishakutumia wanakuacha mwenyewe
Mwanangu ngoja nikuambie kitu , achana na yooote ni ngumu kwa mwanaume rijali kabisa kujitokeza na kudai aliombwa donati mviringo kirahisi tu, hayo ni maneno ya moyoni na ya uchungu sanaaaa baada ya kukufika hapa,

Kama huamini siku ukoswe koswe na vibaka au kwenye fumanizi ukataka kuliwa jicho ,utasema yoote utasema nilipambana sanaaa nikachomoka ila ,kusema tu walitaka kunifi?a wallah hapo pagumu sanaaaa

Kwa kifupi yule dogo hawezi kusingizia kukoswa koswa unyaji wake
 
Msanii wa kondegang anaejulikana kwa jina la IBRA ambaye yupo chini ya msanii harmonize amefunguka kuwa mpaka kufika hapa boss wake amewekeza mil 6 tu na huwa anapatapa show nyingi za Dola 3000 anazikataa anasema sio zinazoendana na thamani yangu na label kiujumla wakati uwekezaji wake ni mdogo kwangu, hiyo ni moja ya sababu ya ugomvi wangu na yeye.
Hatutaki kelele huku mtaani, mlipe hiyo 1bn yake uondoke
 
Msanii wa kondegang anaejulikana kwa jina la IBRA ambaye yupo chini ya msanii harmonize amefunguka kuwa mpaka kufika hapa boss wake amewekeza mil 6 tu na huwa anapatapa show nyingi za Dola 3000 anazikataa anasema sio zinazoendana na thamani yangu na label kiujumla wakati uwekezaji wake ni mdogo kwangu, hiyo ni moja ya sababu ya ugomvi wangu na yeye.
Huyu kijana anajimaliza
 
Back
Top Bottom