IBRA: harmonize amewekeza mil 6 pekee tu kwangu

IBRA: harmonize amewekeza mil 6 pekee tu kwangu

Msanii wa kondegang anaejulikana kwa jina la IBRA ambaye yupo chini ya msanii harmonize amefunguka kuwa mpaka kufika hapa boss wake amewekeza mil 6 tu na huwa anapatapa show nyingi za Dola 3000 anazikataa anasema sio zinazoendana na thamani yangu na label kiujumla wakati uwekezaji wake ni mdogo kwangu, hiyo ni moja ya sababu ya ugomvi wangu na yeye.
We uliwekeza nini pale konde gang? Miziki, yako imeingiza kiasi gani? Acha kulia Lia mtoto wa, kiume, kama kuanzisha label ni rahisi, nenda kaanzishe na wewe Uwe na kina "IBRA" Wako Uwe "unawaita" Chumbani!
Kenge kabisa,
 
Huyu Ibraa hashirikiani na Mond kimyakimya kweli?😄

Siku hizi mshindani wako anatumia watu wa ndani mwako kukubomoa... U
Wapi mkuu hii ni kazi ya CCM kuvuruga eatu mtandaoni...
No reform no Election!!!
 
Ukisoma post za Ibra jinsi anavyoandika utajua umuhimu wa shule. Hata Harmonize pia ni janga. Hawa watu mambo ya kitaalamu wawaachie wenye taaluma zao.
 
Msanii wa kondegang anaejulikana kwa jina la IBRA ambaye yupo chini ya msanii harmonize amefunguka kuwa mpaka kufika hapa boss wake amewekeza mil 6 tu na huwa anapatapa show nyingi za Dola 3000 anazikataa anasema sio zinazoendana na thamani yangu na label kiujumla wakati uwekezaji wake ni mdogo kwangu, hiyo ni moja ya sababu ya ugomvi wangu na yeye.
Huo ni uongo Ibrah......Ulikuwa unaishi Konde VIllage kila kitu ndani kilikuwepo ,je unajua furnished apartment bei zake kwa mwezi?
 
Huyu kijana huyu kauli zake daima huwa zinanichanganya Sana.

Ivi Linda lipo kweli pale ???
 
Mziki wakibongo uwongo wongo mwingi

Ova
 
Back
Top Bottom